Gari aina ya Mark X (Mark II) inauzwa

Gari aina ya Mark X (Mark II) inauzwa

Bei kubwa namna hivyo........bila shaka wewe ni dalali.
 
Kweli aisee hiyo ni mileage ya used semi trailer.Nahisi labda hesabu kwake ni shida au kakosea bahati mbaya ila kama ni kweli basi hiyo gari inabidi iuzwe chini ya milioni tano kwa sababu imetembea sana aisee yaani haifai.

Yaani kwa mileage hiyo sio tu inatakiwa kuuzwa chini ya milion 5 bali inatakiwa kutolewa bure kabisa. Ukiwa na mark II ya mwaka 1991 basi mpaka mwaka huu gari itakuwa imetembea si zaidi ya km 270,000
 
Zinapatikana milioni 15 tu hapa Dar na mileage yake ni chini ya 80000 we unaenda kuilipia motor vehicle,bima na mambo mengine madogo madogo yahusuyo gari ngoma inaingia kwa barabara.Ingia carmudi.com ujionee mwenyewe.

Mkuu bei ya gari inategemea na condition ya gari,usikariri,hakuna standard price ya gari,inategemea mwenyewe anauza ngapi,bei ya mark x yard hauwezi kupata kwa 15m,mtaani mtu akikwama anauza bei yeyote,mie nishaletewa vogue sports 2006 ilikuwa inauzwa 18m.
 
Mark X Milioni 24????? Tamaa mbaya sana.. Hiyo Mark X kwanza sio ya mwaka 2007, ya 2007 unaijua vizuri wewe au? Mark X Milioni 24? Mark X Milioni 24? Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?Mark X Milioni 24?
 
Mkuu bei ya gari inategemea na condition ya gari,usikariri,hakuna standard price ya gari,inategemea mwenyewe anauza ngapi,bei ya mark x yard hauwezi kupata kwa 15m,mtaani mtu akikwama anauza bei yeyote,mie nishaletewa vogue sports 2006 ilikuwa inauzwa 18m.

vogue sawa, sports utata!
 
Mkuu bei ya gari inategemea na condition ya gari,usikariri,hakuna standard price ya gari,inategemea mwenyewe anauza ngapi,bei ya mark x yard hauwezi kupata kwa 15m,mtaani mtu akikwama anauza bei yeyote,mie nishaletewa vogue sports 2006 ilikuwa inauzwa 18m.

Duh ulichukua?
 
Hutaki kuamini ilikuwa vogue sports? Mimi nimeshawahi kuletewa nissan xtrail ya mwaka 2005 bei mil. 5.5

vogue na sport ni magari mawili tofauti! hiyo x-trail ni sawa tu kama mtu ana haraka, maana hata leo nikitaka kwa 9M napata, hazifanyi vizuri sana sokoni tofauti na rav4 au noah old model.
 
na anaeuza Toyota ipsum 240 anipm tufanye biashara soon kwanzia 2004
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom