Gari aina ya Mark X (Mark II) inauzwa

Gari aina ya Mark X (Mark II) inauzwa

Mkuu bei ya gari inategemea na condition ya gari,usikariri,hakuna standard price ya gari,inategemea mwenyewe anauza ngapi,bei ya mark x yard hauwezi kupata kwa 15m,mtaani mtu akikwama anauza bei yeyote,mie nishaletewa vogue sports 2006 ilikuwa inauzwa 18m.

Hiyo vogue sport inatengenezwa na kampuni gani?inatokea wapi mkuu.

Kuna hizi gari,range rover sport na range rover vogue,hiyo yako ni mpya ndio naisikia leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom