- Thread starter
- #41
Nitakujuza ndugu yangu0753123384 nipigie kama bado ipo
Nitakujuza ndugu yangu0753123384 nipigie kama bado ipo
Nitakujuza ndugu yangu kama itakuepo0753123384 nipigie kama bado ipo
Nimekujibu mkuu sorry sikua onlineAfu nijibu pm😪
Wewe ni tapeli gari ipo ofisini kwetu magomeni na haiuzwi bei hyo wewe unakujaje kuitangaza kwa 5m?Sio utapeli ndugu yangu gari ipo na kabla hujanunua unaruhusiwa kuiangalia na kuikagua kama umeridhika nayo na unaitaka ndo unaweza kufanya malipo na ukaichukua gari....kumhukumu mtu kwa kitu ambacho hukijui ni dhambi pia
Naona mmekutana hapo,maana na nyie wa pale mlimani city ni chenga sana.Wewe ni tapeli gari ipo ofisini kwetu magomeni na haiuzwi bei hyo wewe unakujaje kuitangaza kwa 5m?
Aliesema wa mlimani nani hapa?Naona mmekutana hapo,maana na nyie wa pale mlimani city ni chenga sana.
MimiAliesema wa mlimani nani hapa?
Pole yakoMimi
IshauzwaNitakujuza ndugu yangu kama itakuepo
Nimeshainunua angalia vizuri hapo ofisini kwenu bado IPO?Wewe ni tapeli gari ipo ofisini kwetu magomeni na haiuzwi bei hyo wewe unakujaje kuitangaza kwa 5m?
Mi nimenda rangi, gari za njano kali sanaGari yako nzuri sana imetulia
Wadau wanasema ongeza bei, walau 10mBoss anashida na pesa ndio maana
😂😂😂 Aiseee na huyu Leviz kasema milioni 5 ... Ukweli ni upi?nimeshindwa kuaattach hapa ila kuna sehemu wamepost hii gari ni 13Mln mkuuView attachment 2944590
Usicheze na madalali unaweza ukakuta kuna mwingine kapost M25 hapo kinaviziwa kichwa tu, kuna madalali watatu waligonganishwa na sistadu mmoja akiwa na jamaa yake huyu anasema nyumba laki 8, huyu anasema 1.5M na huyu anasema 2.5M alafu nyumba ni Ile Ile madalali tofauti sista akasema subiri akawagonganisha mbuu wote pamoja wanaanza kuitana pembeni wampange, mjini Shule madalali wanakula kwa mtelezo😂😂😂 Aiseee na huyu Leviz kasema milioni 5 ... Ukweli ni upi?