- Thread starter
- #21
Boss anashida na pesa ndio maanaMbona bei rahisi kuliko Vitz?
Wacha tuendelee kunywa mtori, nyama tutazikuta chini
Boss anashida na pesa ndio maanaMbona bei rahisi kuliko Vitz?
Wacha tuendelee kunywa mtori, nyama tutazikuta chini
kama gari ni halali, haina changamoto kubwa na ina document genuine basi haifiki asubuhi itakuwa ishapata mteja.Haina matatizo boss ...ni mtu anashida na pesa alikopa
nimeshindwa kuaattach hapa ila kuna sehemu wamepost hii gari ni 13Mln mkuuHaina matatizo boss ...ni mtu anashida na pesa alikopa
Aiseenimeshindwa kuaattach hapa ila kuna sehemu wamepost hii gari ni 13Mln mkuuView attachment 2944590
Hivi unajiskiaje kufanya utapeli kwa gari ambazo zipo kwenye ofisi za wenzio au umetumwa mzee?
Gari ipo vizuri sana mkuu. Pesa ipo mfuko wa Sharti. Lakini nnaomba twende nayo Morogoro na kurudi. Ikifika salama nnakupa pesa yako gharama za Mafuta na Chakula ni juu yanguGari aina ya IST new model cc:1500,year of manufacture 2015, ipo vizuri sana Karibu wateja Wetu wa MR classic tuwasiliane kwa nambari 0695022051
Imeshachukuliwa jamany kwa ambao walikua hawaamini sawa.....ila angalizo langu muwe mnafanya udadisi kabla ya kutoa lawama au kutoa majibu kwa kitu msichokijuaKwa bei hii hata isingefika huku jf
Amna kitu kama ichoMtego huo
😂😂Acha basi umenichekeshaMy dream car unaiuza 5.5m? Ina shida gani mkuu?
Afu nijibu pm😪My dream car unaiuza 5.5m? Ina shida gani mkuu?
Imechukuliwa au umeona aibu utapeli wako umestukiwaImeshachukuliwa jamany kwa ambao walikua hawaamini sawa.....ila angalizo langu muwe mnafanya udadisi kabla ya kutoa lawama au kutoa majibu kwa kitu msichokijua
Sio utapeli ndugu yangu gari ipo na kabla hujanunua unaruhusiwa kuiangalia na kuikagua kama umeridhika nayo na unaitaka ndo unaweza kufanya malipo na ukaichukua gari....kumhukumu mtu kwa kitu ambacho hukijui ni dhambi piaHivi unajiskiaje kufanya utapeli kwa gari ambazo zipo kwenye ofisi za wenzio au umetumwa mzee?
Huyo mtoa mada ni tapeli sababu hii mara ya kwanza dalali wa gari anaweka service charge ya 30,000 utapeli wa asubuhi na lijamaa limedownload picha na lime
Ni ww tu na Imani yako boss kila mtu anacharge yake kulingana na alivyo na kazi yakeHuyo mtoa mada ni tapeli sababu hii mara ya kwanza dalali wa gari anaweka service charge ya 30,000 utapeli wa asubuhi na lijamaa limedownload picha na limejoin feb 2024
Amna ndgu gari ipo na mtu anataka kwenda kuikagua leo au kesho.....usifikiri kila mtu ataweza kua negative kama wewe na kufikiria mambo maovu tu kama yakoImechukuliwa au umeona aibu utapeli wako umestukiwa