Garama za kusoma usa dallas kwa kujilipia mwenyewe.

viane

Member
Mar 26, 2012
79
18
Naomba msaada nimemaliza form six nataka kwenda kusoma marekani degree ya kwanza mambo ya journalism, vipi garama zake natakiwa kuwa na m ngapi za tz kuanzia visa, tiket, na maisha ya kule yakoje. Ada ya chuo nina mfadhili tatizo mambo mengine nisaidieni faida na hasara za kusoma usa pls jf
 
kwa international student gharama ya kusoma usa in kubwa kuliko canada, australia au uk. Hakikisha kiasi cha scholarship kama in 100% au asilimia fulani. Mara nyingi vyuo hudanganya katika mambo ya scholarship - kwa mfano, husema scholarship ya mwaka itakuwa $10,000 kumbe ada katika chuo hicho ni $25,000 kwa mwaka. Kila chuo kina ada yake na kila state ina sheria yake kuhusu scholarship au msaada kwa international student. State zingine hazitoi financial aid aina ye yote na zingine hutoa kiasi kidogo tu kwa wanafunzi bora(yaani grant - hakuna kulipa). Mikopo kwa ajili ya international student sijasikia.

Gharama za maisha inategemea chuo. Chunguza sehemu ya kuishi - student dorm au apartment. Malazi na chakula inategemea kuanzia $800 hadi $1500 kwa mwezi. Usafiri ni muhimu. Kuna sehemu hakuna public transport na utahitaji gari - mafuta na insurance inaweza kuwa $150 mpaka $300 kwa mwezi. Bei ya gari inategemea unapenda aina gani. Pia utahitaji Health insurance ambayo itakuwa kati ya $100 hadi $300 kwa mwezi kama una afya nzuri. Vitabu ni gharama kubwa. Unaweza kununua second-hand kupitia ebay.

Kila chuo kinatoa estimate ya living expenses for international student. Kwa hiyo ni bora kuwauliza admin ya chuo. Tiketi na viza kutoka Dar inaweza kufika $1800 hadi $2000. Muhimu pia ni kama Form 6 pekee itakubaliwa na chuo. Vyuo vingine vinahitaji ufanye kozi na mitihani kabla baada au kabla ya kukubaliwa. Kuna malipo kwa ajili ya mitihani na kozi hiyo.
 
kwa international student gharama ya kusoma usa in kubwa kuliko canada, australia au uk. Hakikisha kiasi cha scholarship kama in 100% au asilimia fulani. Mara nyingi vyuo hudanganya katika mambo ya scholarship - kwa mfano, husema scholarship ya mwaka itakuwa $10,000 kumbe ada katika chuo hicho ni $25,000 kwa mwaka. Kila chuo kina ada yake na kila state ina sheria yake kuhusu scholarship au msaada kwa international student. State zingine hazitoi financial aid aina ye yote na zingine hutoa kiasi kidogo tu kwa wanafunzi bora(yaani grant - hakuna kulipa). Mikopo kwa ajili ya international student sijasikia.

Gharama za maisha inategemea chuo. Chunguza sehemu ya kuishi - student dorm au apartment. Malazi na chakula inategemea kuanzia $800 hadi $1500 kwa mwezi. Usafiri ni muhimu. Kuna sehemu hakuna public transport na utahitaji gari - mafuta na insurance inaweza kuwa $150 mpaka $300 kwa mwezi. Bei ya gari inategemea unapenda aina gani. Pia utahitaji Health insurance ambayo itakuwa kati ya $100 hadi $300 kwa mwezi kama una afya nzuri. Vitabu ni gharama kubwa. Unaweza kununua second-hand kupitia ebay.

Kila chuo kinatoa estimate ya living expenses for international student. Kwa hiyo ni bora kuwauliza admin ya chuo. Tiketi na viza kutoka Dar inaweza kufika $1800 hadi $2000. Muhimu pia ni kama Form 6 pekee itakubaliwa na chuo. Vyuo vingine vinahitaji ufanye kozi na mitihani kabla baada au kabla ya kukubaliwa. Kuna malipo kwa ajili ya mitihani na kozi hiyo.
.
Asante sana umenisaidia sana , ila mi ninaye ndugu yangu huko kuhusu fees haina tabu tabu ni mengine yote yaliobakia
 
Back
Top Bottom