Naomba msaada kwa Jiji la Mwanza penye garage nzuri ya magari madogo. Gari yangu aina ya Toyota Brevis inaniwashia alama ya check engine ikiwa kwenye mwendo nikisimama na kuzima halafu nakuwasha tena inapotea kwa muda badae tena inarudi nikisimama nikazima gari halafu nikiwasha tena inapotea lkn baada ya muda inarudi tena kwahiyo nataka niwapeleke wataalam mwanza wanisaidie. Kwahiyo mwenye kujua garage nzuri anisaidie