Latimore Mimo wangeci
JF-Expert Member
- Feb 1, 2019
- 898
- 1,081
usikuwe mjinga, i speak sheng,mixture of swahili and english,acha kufikiria ka mtu amerogwa
Hicho ulicho andika hakifananii na kiswahiliusikuwe mjinga, i speak sheng,mixture of swahili and english,acha kufikiria ka mtu amerogwa
Itakua ya 25flow hii.
ndo maana ni ya kenyaDooh iki kiswahili nouma sana..!!Sijaelewa
mbona nyi huwa wajinga,yaani you hate on anything you dont understand,am kenyan una expect niandike ka tanzanian!utangoja,am proud of my swahili,so stick to yours instead of hating on mineKiswahili hujui basi andika kwa lugha kikristo basi
mpuuzi mpuuzi tu
Hahaha..!!Kiswahili hujui basi andika kwa lugha kikristo basi
mpuuzi mpuuzi tu
Aahaaa kumbe unatokeanga 254 Joh!!Bas haina noma budaa jitahidi ujifunze utaelewa tu polepole mazee johndo maana ni ya kenya
Fiti nkipata dem wa uko kwenu ntamshow anifunze kiswahiliAahaaa kumbe unatokeanga 254 Joh!!Bas haina noma budaa jitahidi ujifunze utaelewa tu polepole mazee joh
haha ukisema overflow una mean?Sababu ni Kenya boyz ni legelege sana na sio romantic kama sisi watz na tena tz money ni overflow joh
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh ,so una mean wakue prostitutes wakiwa tanzania?Pesa iko nje nje kazi iko kwa Kenya gal kutafuta viwanjA vya kula bata only
Sent using Jamii Forums mobile app