franckkimm
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 440
- 852
Kocha mkuu wa Yanga amesema:
Kumekuwa na maneno mengi kuwa sifanyi mabadiliko ya kikosi kwa wachezaji. Nilianza kufanya hivyo nilipata matokeo mabaya dhidi ya Ihefu FC katika mechi ya Ligi Kuu tulipofungwa mabao 2-1. Nilipoona matokeo sio rafiki nikaendelea na mfumo wangu mashabiki waliendelea kuzungumza,” .
“Kwenye Mapinduzi nimetoa nafasi kwa wachezaji wote kucheza, lakini sioni wakipambana. Sina budi kusema ni kweli nina kikosi bora, lakini sio kipana. Hii ni kutokana na ubora wa wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza kuwa juu zaidi kuliko ninaowatumia kwenye mashindano haya.” .
“Wachezaji wanashindwa kujituma na hawapambani kama matarajio ya wengi yalivyo, hivyo ana kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha kila mmoja anawajibika ili kuipambania timu.” alisema Gamondi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na maneno mengi kuwa sifanyi mabadiliko ya kikosi kwa wachezaji. Nilianza kufanya hivyo nilipata matokeo mabaya dhidi ya Ihefu FC katika mechi ya Ligi Kuu tulipofungwa mabao 2-1. Nilipoona matokeo sio rafiki nikaendelea na mfumo wangu mashabiki waliendelea kuzungumza,” .
“Kwenye Mapinduzi nimetoa nafasi kwa wachezaji wote kucheza, lakini sioni wakipambana. Sina budi kusema ni kweli nina kikosi bora, lakini sio kipana. Hii ni kutokana na ubora wa wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza kuwa juu zaidi kuliko ninaowatumia kwenye mashindano haya.” .
“Wachezaji wanashindwa kujituma na hawapambani kama matarajio ya wengi yalivyo, hivyo ana kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha kila mmoja anawajibika ili kuipambania timu.” alisema Gamondi.
Sent using Jamii Forums mobile app