uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,305
- 9,470
Inafahamika kwa Sasa namna ambavyo team nyingi kubwa afrika kwa Sasa zinavyohangaika kutafuta makocha na wachezaji wazuri watakaoleta sio TU ushindi Bali pia mpira wenye furaha na burudani kwa mashabiki wao.
Gamondi kocha wa yanga ameonesha kiwango kikubwa sana pamoja na mchezaji Max katika kuleta ushindi na burudani ya soccer
Endapo Gamondi atafanikiwa kuipiga Al Ahly nje ndani kwenye Cafcl basi miamba hiyo ya Cairo itaweka zaidi ya bilioni 3 kwa ajili ya Gamondi na Max ili kuboresha kikosi Chao
Hii ndio gharama ya kufanya vizuri Viva yanga
Gamondi kocha wa yanga ameonesha kiwango kikubwa sana pamoja na mchezaji Max katika kuleta ushindi na burudani ya soccer
Endapo Gamondi atafanikiwa kuipiga Al Ahly nje ndani kwenye Cafcl basi miamba hiyo ya Cairo itaweka zaidi ya bilioni 3 kwa ajili ya Gamondi na Max ili kuboresha kikosi Chao
Hii ndio gharama ya kufanya vizuri Viva yanga