Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Ungeandika kwa kiswahili kitupu pasipo kuchanganya lugha ungeeleweka vizuri.. Unahoja lakini uwasilishaji wako niwakilimbukeni

GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS

Sababu ni hizi

1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.

2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course

3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.

4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.

5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.

6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda 🤔. he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.

7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.

8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.

Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena 🚮🚮.
pacome off - guede In 😂😂 kisa rushwa yake icheze tu..
Mtoe nje "amna kitu hapa" muingize "hamna kitu hapa".
"Ana mipingo", hebu nitafsirie kwa kiswahili ili nielewe ni nini.
 
Anafanya vizuri au ndio hivyo tuu!?
Wamtimue arudi tu jangwani kiukweli hakuna kocha niliowahi muelewa falsafa zake kama Nabi.
Muhimu ni ushindi pia alikua mgumu kuruhusu magoli.
Ukienda kwa takwimu kati ya Nabi akiwa Yanga na Gamondi, za Gamondi zipo juu kwenye ligi kuu.
Tukija kwenye klabu bingwa, Yanga imekutana na test ngumu tatu
Medeama, Belouizdad na Al Ahly lakini timu imeweza kuruka kihunzi ila Nabi kakutana na Etoil du Sahel imemtoa mashindanoni.

Budget ya Far Rabat na Yanga, ya Rabat ipo juu lakini timu Yanga inacheza robo fainali ya klabu bingwa
 
Ukienda kwa takwimu kati ya Nabi akiwa Yanga na Gamondi, za Gamondi zipo juu kwenye ligi kuu.
Tukija kwenye klabu bingwa, Yanga imekutana na test ngumu tatu
Medeama, Belouizdad na Al Ahly lakini timu imeweza kuruka kihunzi ila Nabi kakutana na Etoil du Sahel imemtoa mashindanoni.

Budget ya Far Rabat na Yanga, ya Rabat ipo juu lakini timu Yanga inacheza robo fainali ya klabu bingwa
KAtika takwimu kaka labda za magoli zipo juu.
Ila tukitizama idadi ya mechi kufungwa yule jamaa Nabi kafungwa mechi chache sana pia karuhusu magoli machache mnooo kuliko Gamondi.
Gamondi ukimuotea unamfumua kisawasawa,ila Yanga ya Nabi ilikua ukiiotea haichelewi kujirudisha mchezoni na kudhibiti madhara zaidi.
Mifumo ya Nabi migumu kuielewa hata El Merrekh si walimlalamikia na kumfukuza.
Huwenda Far Rabat pia wanapitia hiko hiko.
 
most of time huwa namuona kocha kama anazinguua ila watu ninaofanya nao mjadala wana utimu sana ..vitu tactical kuviona hawawezi....mzize namkubali sana na kuna baadhi ya mechi naona uhitaji wake lakini atangangana na kina msonda dakika za kufungia anamingiza...sio hilo tu kuna vingi vinavyoashiria hajui au hawezi kuwa kocha bora yanga anashambulia sawa ...kujilinda anasahau sana au kuheshimu mppinzani
 
Kuna timu gani ambayo haifungwi? Kashinda mechi ngapi ngumu? Kupoteza mechi ni sehemu ya kawaida sasa wewe umekaza matako na kizungu uchwara chako niseme wewe mpira huujui umeweka ushabiki mbele matako ya shangazi yako! Sio kila sub unayoifanya itazaa matunda ng'ombe wewe! Huelewi chochote kuhusu mpira kelele nyingi kama unatombwa
 
honestly from day 1.. I had suspicious activities behind his transfer.. I had info on how he got to yanga. I knew something was up. guede is the worst striker we have. and yet he is the one with most minutes.???



gomondi has more goals. but Nabi has more winnings with 49 winning steak. and with less quality players than gamondi.
with all due respect mpira umeanza kufuatilia lini?
 
most of time huwa namuona kocha kama anazinguua ila watu ninaofanya nao mjadala wana utimu sana ..vitu tactical kuviona hawawezi....mzize namkubali sana na kuna baadhi ya mechi naona uhitaji wake lakini atangangana na kina msonda dakika za kufungia anamingiza...sio hilo tu kuna vingi vinavyoashiria hajui au hawezi kuwa kocha bora yanga anashambulia sawa ...kujilinda anasahau sana au kuheshimu mppinzani
Timu ilichoka, wachezaji wa Yanga wanatumia nguvu nyingi wanapokuwa uwanjani, aina ya mpira wa Gamondi ni wote mnatakiwa kuwa mabeki pindi mkiwa hamna mpira hivyo inawafanya wachezaji wa press kwa nguvu ili kuwin mipira na timu inakuwa inacheza kwa kasi sana. Ile kucheza mfululizo kumewafanya wachezaji wawe wamechoka. Ukiangalia magoli ya Azam waliofunga yote mawili ni ya kizembe kwa watu kuishia kukabia macho kitu ambacho sio kawaida kwa Yanga.
 
GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS

Sababu ni hizi

1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.

2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course

3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.

4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.

5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.

6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda . he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.

7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.

8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.

Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena .
pacome off - guede In kisa rushwa yake icheze tu..
uwe mvumilivu bro,mpira ndio ulivyo
 
GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS

Sababu ni hizi

1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.

2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course

3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.

4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.

5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.

6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda . he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.

7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.

8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.

Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena .
pacome off - guede In kisa rushwa yake icheze tu..
Kingine kinachonifanya nimvue vyeo ni kumchezesha Sure boy kama no.6 badala ya 8, najiuliza kina mkude na mauya waliwasajili wa nini!
 
Ntakukubalia kwa Gamondi maana sometimes anafanya makosa sijui kwa makusudi au bahati mbaya maana huwezi Anza na kibabage katika game ambayo unajua wapinzani Wana ma winger hatari kibabage faida yake ipo kwenye kushambulia tu ila kukaba hamna kitu na ndo maana baadhi ya makocha huko alikopita walikua wanamtumia kama winger.

Kosa kingine kubwa alilofanya ni Ile sub ya kingia Guede asee huyu mchezaji ni ovyo kabisa Yuko very slow na maamuzi yake kwenye kutoa pasi sio mazuri.

Lakini haya lazima yatokee Ili tujue panapovuja.
 
Ntakukubalia kwa Gamondi maana sometimes anafanya makosa sijui kwa makusudi au bahati mbaya maana huwezi Anza na kibabage katika game ambayo unajua wapinzani Wana ma winger hatari kibabage faida yake ipo kwenye kushambulia tu ila kukaba hamna kitu na ndo maana baadhi ya makocha huko alikopita walikua wanamtumia kama winger.

Kosa kingine kubwa alilofanya ni Ile sub ya kingia Guede asee huyu mchezaji ni ovyo kabisa Yuko very slow na maamuzi yake kwenye kutoa pasi sio mazuri.

Lakini haya lazima yatokee Ili tujue panapovuja.
Kila siku . Panavuja tu
 
Back
Top Bottom