Anataka 5imba wafe kifo cha mende..!! Na hivi Mudi kasema amepata hasra kubwa, basi nawaona jinsi wanavyokwenda kupigwa vibaya na kila anayekatiza mbele yaoHuyu jamaa anaitakia nini kolouzidad? View attachment 2920283
Tangu ulipozimia uwanjani, akili yako haijakaa sawa.Huyu jamaa anaitakia nini kolouzidad? View attachment 2920283
Tangu ulipozimia kwenye banda la mpira. Umezinduka akili yako haijakaa sawa ๐๐๐Anataka 5imba wafe kifo cha mende..!! Na hivi Mudi kasema amepata hasra kubwa, basi nawaona jinsi wanavyokwenda kupigwa vibaya na kila anayekatiza mbele yao
๐๐๐๐๐๐๐Mimi ni kolo huyu jamaa atatuua jamani.
Natamami aondoke Tanzania mimi kolo nipate amani.
Kama yanga hii ilotupiga kono la nyani sio anayoitaka ikija anayoitaka si atatufunga kumi.
Tangu ulipozimia uwanjani, umezinduka akili yako haijakaa sawa.Mimi ni kolo huyu jamaa atatuua jamani.
Natamami aondoke Tanzania makolo tupate amani.
Kama yanga hii ilotupiga kono la nyani sio anayoitaka ikija anayoitaka si atatufunga kumi.