Unajua nini Mkuu, hata mimi katika Games niliizoea PES ila baadae nilivyoingia katika Fifa niliiona ngumu, unajua ni nini nilichokifanya? Nikaanza kuweka level ya Beginer, baadae Ameture na baadae professional, hapo kwenye professionar ndo mpaka sasa, yaani kwenye League nacheza level hiyo tu.FIFA ni nzuri naipenda because ni ngumu na ina challenge tofauti na PES ni nyepesi sana japo ina ligi nzuri,
kwa beginners wa games ukizoea PES basi FIFA hutaiweza.
all in all nacheza zote kulingana na mood.
ok mkuuinategemea na style yako, kwa mchezo wa pace pes wapo vizuri ila kama unapenda build up play ile pasi pasi pasi mpaka goli fifa wapo vizuri.
Shusha 14 kwanzaBut ngoja nilishushe fifa12 kwanza nione.
Ndio Mkuu FIFA lazima UWE PROHawa beginners ndio wanaishabikia PES zaidi kuliko FIFA, FIFA ni mnyama mwingine bhana.
Mimi Fifa nishawahi kuwaburuzaga watu sana pale DIT ila baadae nilivyopoteza PC sikucheza kama miezi 4 au 5, nilivyoenda nilifungwa kila mechi.daa mmenikumbusha mbali sana nakumbuka wakati tuko chuo kuna wanyama walikuwa wakakali balaa kwenye fifa mpaka tulikuwa na ligi moja matata Fifa mi naikubali sababu kwanza ngumu kucheza haf magoli ya hovyo hakuna mtu yupo kati akipiga kidogo tu anafunga
Processor ipoje?Pc angu ina ram 3 gb...lkn nnaweza cheza pes 17...bila shida...
Fifa ...nimewaicheza ya 2007 ...kutumia pc hyo hyo...je nikichukua fifa 18..ninaweza cheza kwa ram hyo
Maana hata pes 17...requiment ake ilikuwa ram 8gb...lkn me nmeicheza kwa 3gb....msaada hapo wakuu
Nataman kuamia fifa lkn uwezo wa pc angu unaniogopesha..maana ku download game n pesa
Mbona me nacheza pes lakini huwezi score kama unavyosema, nacheza pes 2017 ya PCPES hawana ishu kabisa aisee,eti mchezaji anaweza kufunga katikati ya uwanja kizembezembe tu yaani, nenda FIFA kama utascore magoli kizembe hivyo
Nina mpango wa kushusha Fifa 18 so hii 12 najaribu tu nione coz lina GB 2 tu, ni repack.Shusha 14 kwanza
Sorry chief out of topic, nikicheza gem ya mpira mwili wangu hauna tatizo, ila nikicheza gem za mishen kama GTA, Uncharted na mengineo iwe kwenye console au pc lazma nihisi kizunguzungu, hapo tatizo linaweza kuwa nini? japo kuna jamaa yangu amenambia nitafute miwani kwa ajili ya kichwa.mimi still ni fan wa pes, ila since 2014 naona wanazingua tu, wameacha root zao na innovation ni sifuri.
nina week now nacheza pes 18 kidogo naona wameimprove ila bado naona wana safari ndefu.
nimecheza FIFA 17 japo si mpenzi wa gameplay ya FIFA ila frostbite engine ni next level, ile story ya Alex Hunter ya kwenye journey ni bonge la idea.
wish Konami waje na kitu kama kile,
Ya PC na XBOX 360 walau PES amejitahidi.Mbn me nacheza pes lkn huwez score km unavyosema ...nacheza pes 2017 ya pc
Ndio ya pc iko poa tu me naona...Ya PC na XBOX 360 walau PES amejitahidi.