Game ya computer iliyonivutia

NullPointer

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
3,461
Reaction score
2,275
Hii game nimeipata muda mrefu sana ila hadi leo bado naicheza tu.. Utamu wa hii game icheze kwenye machine yenye high specs, ultra settings at full 1080p ukiwa na avarage 50+ FPS na monitor safi kabisa yenye refresh rates za kutosha...

Battlefield 4 namba moja... mrembo mwingin ni Crysis 3.. hapo hunyanyuki hadi umalize story nzima... graphics zimefikia level nyingine kabisa nowadays... kama bado unatumia dual core na intel hd ni wakati muafaka sasa kutafuta i5 au i7 na GPU za NVIDIA GTX angalau 650ti kwenda juu.....




Tupia games ambazo umecheza unazozikubali....
 
Nataka ni nunue laptop ambayo iko vizuri katika kucheza gemes..laptop gani ni nzuri mkuu.
 
Nataka ni nunue laptop ambayo iko vizuri katika kucheza gemes..laptop gani ni nzuri mkuu.

Ni vizuri ukiangalia specs zake, processor, gpu, ram.. Kama unataka games latest na katika max quality unahitaji utenge at least kuanzia milioni utafute laptop zenye processor ya i5 au i7... nyingi hua zina gpu decent... japo laptop kwa games kubwa lazima ulie kidogo, zinapata joto sana, sana utadhani unachemsha maji.. sitoshauri ununue laptop kwa games, bora desktop ukafungia water cooling system kabisa...
 
Mkuu nina maswali yafuatayo
1.hiyo bf4 nimecheza single prayer( offline) haikuchukua hata muda misssion zikawa zimeisha au kuna kitu nilikosea?
2. Mashine nzuri kama unavyopendekeza inaweza nigharimu kiasi gani?
3. Vip TV za kawaida(LED ) kama sony au samsung 32'zina refresh rates za kutosha? Kwa ufupi ni nzuri?
 
Far cry 1, 2, 3 ni Mwisho wa matatizo. High Graphics, Inaweza kucheza kwenye mashine nyingi. Then kama unapenda kudrive poa kama unapenda vita poa. napenda sana siraha zake.
 

BF4 ukicheza campaign kuna missions kama unaenda straight unaweza ukamaliza kama baada ya 6-8hours hivi..
Machine nzuri inabidi upange sio chini ya milioni... kuhusu monitor inabidi uangalie mwenyewe, hao hao manufacturers wanazo ambazo ni nzuri na mbaya.. inabidi uangalie hua wanaandika refresh rate, kwa TV mara nyingi hua zinaishia 30Hz which is very low, angalau ukipata kuanzia 60kwenda juu, nitarecommend 120Hz kwa ajili ya gaming, angalia na latency issues angalau 5ms hadi 1ms hizo zinaweza kuswitch faster sana kuepusha motion blur..
 
Far cry 1, 2, 3 ni Mwisho wa matatizo. High Graphics, Inaweza kucheza kwenye mashine nyingi. Then kama unapenda kudrive poa kama unapenda vita poa. napenda sana siraha zake.

Far cry nimeikubali.. game moja graphics zimetulia sana ile... hata physics zake zimesimama
 

Thanks
 
Far cry 1, 2, 3 ni Mwisho wa matatizo. High Graphics, Inaweza kucheza kwenye mashine nyingi. Then kama unapenda kudrive poa kama unapenda vita poa. napenda sana siraha zake.

Farcry ile minara ya kisiwa cha pili imenitesa mpaka nimeamua kuachana nayo kwanza, kila nikipanda nadondoka.
 
Dangerous dave na supermario zile 8bit, zilikuwa awesome, ivi zinakubali kwenye mashine za kisasa? Nataka nijikumbushe
 
Game GTA San Andreas tuu.bado sijaona mpinzani wake,,sema graphics tu ndo hazjakuwa improved sababu ni ya zamani, kuna Call of Duty Modern Warfare3 nayo ni kali sana sema mtu haonekani
 
Fifa 2014 cjaimailiza
Battlefield 2
Battlefield 3
Battlefield 4 hii bado sijaimailiza
NFSD 2012
NFSD Rivals sijaimailza
GTA 3
GTA 4 hii bado sijaimaliza pia
 
Grand prix ndio iliyoniingiza kwenye game then nikaja kuikubali need for speeed.
 
Fifa 14

Spintires

Real Boxing

Hayo juu nikatafuta na Dual shock 3 (ps3 game pad) na ka bluetooth dongle cha 5000 kariakoo, mambo ni mteremko.
 
Kaka niandikie hapa tuongee zaidi kuhusu game,napenda comp game balaa....imekaavizuri@yahoo.com
Nimekua lakini kwenye game hunitoi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Dangerous dave na supermario zile 8bit, zilikuwa awesome, ivi zinakubali kwenye mashine za kisasa? Nataka nijikumbushe

zinakubali ukirun kwenye compatibility mode ukachagua OS za zamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…