Sidhani kama wapo hawa kwa ID zingine. Tone zao zinajulikana tungeshawajua. Binafsi wameniudhi sana GT na FMES kwa kuchikichia hata wasituage sisi wenzao tulioanzisha hili jahazi 2006. Popote mlipo naombeni mni PM-nina message nzito sana. Hii nchi ni ya kwetu wote, hamuwezi kutususia. Kumbe mnamsusia nani?