Gambo, kama ni mkusanyiko usio halali mbona wafiwa umewaacha?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,432
73,078
Waliokusanyika pale shuleni Arusha kutoa na kupokea rambirambi tena kikao cha ndani katuma polisi wawakamate eti sio mkusanyiko halali. Lakini pia akaagiza wale wazazi wafiwa wasikamatwe.

Jee wale walikusanyika wao kihalali? Pale ni nyumbani kwao? Hii inaonyesha tuu kuwa alijua afanyacho sio halali na kama kamatakamata hiyo itawahusisha na wale wazazi basi moto utamuwakia kwa nchi nzima, lakini yeye mlengwa wake mkubwa ni Meya na hao madiwani.

Sasa ni wazi kuwa Arusha rambirambi zililiwa, na sio Gambo pekee bali kuna chain ndefu ya mchongo huo na sio ajabu tukiyajua majina tutabaki vinywa wazi.

Viongozi hawa wa kuteuliwa mbona wanajivunjia heshima na zaidi wanaivunjia heshima serikali ionekane ya kihuni?
 
RC Gambo ni kijana asiyejitambua. Waliokusanyika pale shuleni Arusha kutoa na kupokea rambirambi tena kikao cha ndani katuma polisi wawakamate eti sio mkusanyiko halali. Lakini pia akaagiza wale wazazi wafiwa wasikamatwe. Jee wale walikusanyika wao kihalali? Pale ni nyumbani kwao? Hii inaonyesha tuu kuwa alijua afanyacho sio halali na kama kamatakamata hiyo itawahusisha na wale wazazi basi moto utamuwakia kwa nchi nzima, lakini yeye mlengwa wake mkubwa ni Meya na hao madiwani.
Sasa ni wazi kuwa Arusha rambirambi zililiwa, na sio Gambo pekee bali kuna chain ndefu ya mchongo huo na sio ajabu tukiyajua majina tutabaki vinywa wazi.
Viongozi hawa wa kuteuliwa mbona wanajivunjia heshima na zaidi wanaivunjia heshima serikali ionekane ya kihuni?

Serikali yetu ni ya Kihuni.Chuki na visasi ndivyo vimetawala Taifa kwa sasa.Unathubutu kumkamata mpaka mapadre,wachungaji na Mashekhe anajua maana yake?

Kama kuna watu wanatetea wajue wanalileta Taifa laana isiyo Na sababu.
 
rambirambi rambirambi, yani nyie mko hatua 800 nyuma, msiba ulishaisha ule, mnataka maisha yasiendelee au? gambo wakae gerezani hao hata mwezi mzima, wapuuzi sana.
Tumia akili ndugu yangu, hata wiki mbili hazijaisha, watu hawajatawanyika misibani na wewe hutaki waendelee kusaidiwa?
Ngoja afe anaye kugusa ndio utajua msiba huwa unaisha lini. Mna mioyo migumu kama mawe!
 
Huu msiba bado uko?hiv wale wazungu walipowachukua wale majeruhi kuwapeleka marekan kuwasaidia walikusanya watu?kunamaandamano yeyote wlifanya?huu sasa ndomsaada ambao unapendeza mbele ya mwwnyezimungu hii misaadamingine inamaana flan nasio kusaidia hapa watu wanatafuta kura jaman kama hamuelewi kamwe hamtaelewa.hii nchi imekua yaajabu sana watu wanatumia misiba kujitaftia kura na umaarufu.
 
Tumia akili ndugu yangu, hata wiki mbili hazijaisha, watu hawajatawanyika misibani na wewe hutaki waendelee kusaidiwa?
Ngoja afe anaye kugusa ndio utajua msiba huwa unaisha lini. Mna mioyo migumu kama mawe!
kwa hiyo unadhani sijawahi kufiwa? pole sana kwa kuwaza emotional na si objectively. ukweli lazima usemwe tena ukweli mzuri unasemwa mapema, watoto washapumzika na tuliwapa heshima zote. ile ni shule madarasa lazima yarudi nyie mnaenda kufanya siasa. nadhani wangeenda kwa wafiwa nyumbani na sio kusanyiko serious na waandishi wa Habari juu, na natamshi ya Lazaro wenu ni fake news. gambo usiwaachie hao mwezi mzima
 
Huyu hasira yake ni kwa.chama cha wamiliki wa shule kupeleka rambi rambi zao moja kwa.moja.,pale bila kuzipitisha kwake ...
Pili kuwepo kwa madiwani pale

Kuna kitu kibaya sana anajenga wale wafiwa wanahitaji faraja na viongozi wa dini walikuwa pale...wanajisikiaje muda...huuu

Je kama...hizo...Rambi rambi...angezipokea Meya si ndio...yangekuwa matangazo?

Nitoe tu wito...kuwa wale ambao bado wanazo rambi rambi wazipeleke..tu moja kwa..moja wasipitishe kwa Gambo

Hadi sasa kuna watu na taasisi.nyingi...yakiwemo makundi ya whatsap yaliochanga wanalalamika...sana hawaoni majina yao kwenye list ya Gambo...ila kwakuwa..wengine watu na heshima.zao wamemuachia Mungu
 
Tumia akili ndugu yangu, hata wiki mbili hazijaisha, watu hawajatawanyika misibani na wewe hutaki waendelee kusaidiwa?
Ngoja afe anaye kugusa ndio utajua msiba huwa unaisha lini. Mna mioyo migumu kama mawe!
Hapo umesema ngoja afe anaemgusa! Anafanya mzaha na kifo
 
Huu msiba bado uko?hiv wale wazungu walipowachukua wale majeruhi kuwapeleka marekan kuwasaidia walikusanya watu?kunamaandamano yeyote wlifanya?huu sasa ndomsaada ambao unapendeza mbele ya mwwnyezimungu hii misaadamingine inamaana flan nasio kusaidia hapa watu wanatafuta kura jaman kama hamuelewi kamwe hamtaelewa.hii nchi imekua yaajabu sana watu wanatumia misiba kujitaftia kura na umaarufu.
Mashehe na mapadre nao wanatafuta kura? Huko sasa ni kuchanganya madesa!
 
Huu msiba bado uko?hiv wale wazungu walipowachukua wale majeruhi kuwapeleka marekan kuwasaidia walikusanya watu?kunamaandamano yeyote wlifanya?huu sasa ndomsaada ambao unapendeza mbele ya mwwnyezimungu hii misaadamingine inamaana flan nasio kusaidia hapa watu wanatafuta kura jaman kama hamuelewi kamwe hamtaelewa.hii nchi imekua yaajabu sana watu wanatumia misiba kujitaftia kura na umaarufu.
Umeona maandamano wapi?Na yes,wameona ni rahisi wawaite sehemu moja wawape hizo rambi rambi,turudi kwenye sheria!Ni sheria ipi ya nchi imevunjwa???period
 
RC Gambo ni kijana asiyejitambua. Waliokusanyika pale shuleni Arusha kutoa na kupokea rambirambi tena kikao cha ndani katuma polisi wawakamate eti sio mkusanyiko halali. Lakini pia akaagiza wale wazazi wafiwa wasikamatwe. Jee wale walikusanyika wao kihalali? Pale ni nyumbani kwao? Hii inaonyesha tuu kuwa alijua afanyacho sio halali na kama kamatakamata hiyo itawahusisha na wale wazazi basi moto utamuwakia kwa nchi nzima, lakini yeye mlengwa wake mkubwa ni Meya na hao madiwani.
Sasa ni wazi kuwa Arusha rambirambi zililiwa, na sio Gambo pekee bali kuna chain ndefu ya mchongo huo na sio ajabu tukiyajua majina tutabaki vinywa wazi.
Viongozi hawa wa kuteuliwa mbona wanajivunjia heshima na zaidi wanaivunjia heshima serikali ionekane ya kihuni?

Staki kusema maana ukiona MTU anakunya barabarani mchana kweupe ujue huyu no mwendawazimu
 
kwa hiyo unadhani sijawahi kufiwa? pole sana kwa kuwaza emotional na si objectively. ukweli lazima usemwe tena ukweli mzuri unasemwa mapema, watoto washapumzika na tuliwapa heshima zote. ile ni shule madarasa lazima yarudi nyie mnaenda kufanya siasa. nadhani wangeenda kwa wafiwa nyumbani na sio kusanyiko serious na waandishi wa Habari juu, na natamshi ya Lazaro wenu ni fake news. gambo usiwaachie hao mwezi mzima
Una level ya kujua kusoma na kuandika,sio kosa lako!Ngoja tu tukueleweshe taratibu pengine utaoata hata moja kati ya kumi!Je,sheria ipi ya nchi imevunjwa?Kwann wabague kuwa hawa tuwakamate na hawa tusiwakamate ilihali wote walikusanyikia darasani?Viongozi wa shule wametoa chumba cha darasa,Gambo na wew imewauma nin??Pathetic
 
Una level ya kujua kusoma na kuandika,sio kosa lako!Ngoja tu tukueleweshe taratibu pengine utaoata hata moja kati ya kumi!Je,sheria ipi ya nchi imevunjwa?Kwann wabague kuwa hawa tuwakamate na hawa tusiwakamate ilihali wote walikusanyikia darasani?Viongozi wa shule wametoa chumba cha darasa,Gambo na wew imewauma nin??Pathetic
sheria mliyovunja mtaijua mahakamani. mambo kama hizi ndo makonda anapozidigi credit maRC wengi.
 
Back
Top Bottom