mwinyi
Senior Member
- Apr 11, 2008
- 149
- 155
Habarini Wadau,
Jamani naombeni msaada wenu katika hili;
Mimi ni mhitimu ya shahada ya Marketing lakini ninaona kuna opportunity kubwa sana uko mbeleni kwenye sekta ya michezo ya kubahatisha.
Kwa sasa sekta hii inachangia pato la taifa kwa kulipa kodi ya kiasi cha bilioni 1.4 kwa mwezi,ni sekta inayokuwa kwa kasi kubwa na kuajiri watu wengi sana. Sasa ktika uchunguzi wangu nilioufanya nimeshindwa kupata chuo kinachotoa masomo haya kama taaluma rasmi. Naombeni mnisaidie kushare majina ya vyuo vinavyofundisha/kutoa degree,masters katika maswala ya michezo ya kubahatisha.
Nawashauri vijana wanosoma sasa waangalie taaluma ipi itakuwa na manufaa kwao,kuliko kufuata taaluma zisizokuwa na mantiki katika karne hii.
Nawasilisha,wako mjezi mwezako wa twaifa hili.
Jamani naombeni msaada wenu katika hili;
Mimi ni mhitimu ya shahada ya Marketing lakini ninaona kuna opportunity kubwa sana uko mbeleni kwenye sekta ya michezo ya kubahatisha.
Kwa sasa sekta hii inachangia pato la taifa kwa kulipa kodi ya kiasi cha bilioni 1.4 kwa mwezi,ni sekta inayokuwa kwa kasi kubwa na kuajiri watu wengi sana. Sasa ktika uchunguzi wangu nilioufanya nimeshindwa kupata chuo kinachotoa masomo haya kama taaluma rasmi. Naombeni mnisaidie kushare majina ya vyuo vinavyofundisha/kutoa degree,masters katika maswala ya michezo ya kubahatisha.
Nawashauri vijana wanosoma sasa waangalie taaluma ipi itakuwa na manufaa kwao,kuliko kufuata taaluma zisizokuwa na mantiki katika karne hii.
Nawasilisha,wako mjezi mwezako wa twaifa hili.