C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
WAKUU
katika kuangalia angalia zangu Euro hapa nikapata mawili matatu ambayo nimeona yanaweza kuzaa idea ya biashara ambayo nikaona sio mbaya kuja ku share na wakubwa/ wadogo zangu hapa kwanza kabisa naomba kuuliza je sheria za nchi yetu inaruhusu biashara ya gambling / beting
tumeona ulaya kuna makampuni ya bet365, betfair, bwin n.k
je kama ni wanaruhusu hatuoni kuwa ni moja ya chance ya biashara ambayo naona africa Tanzania ikiwepo haitiliwi maanani??
kuna vitu vingi vya ku bet kama vile
michezo kama football n.k
mashindano ya nyimbo bss, tusker project fame n.k
mashindano ya urembo like ms tz n.k
bba
uchaguzi midogo na mikubwa
na vitu vingine vingi tu
NAWASILISHA
katika kuangalia angalia zangu Euro hapa nikapata mawili matatu ambayo nimeona yanaweza kuzaa idea ya biashara ambayo nikaona sio mbaya kuja ku share na wakubwa/ wadogo zangu hapa kwanza kabisa naomba kuuliza je sheria za nchi yetu inaruhusu biashara ya gambling / beting
tumeona ulaya kuna makampuni ya bet365, betfair, bwin n.k
je kama ni wanaruhusu hatuoni kuwa ni moja ya chance ya biashara ambayo naona africa Tanzania ikiwepo haitiliwi maanani??
kuna vitu vingi vya ku bet kama vile
michezo kama football n.k
mashindano ya nyimbo bss, tusker project fame n.k
mashindano ya urembo like ms tz n.k
bba
uchaguzi midogo na mikubwa
na vitu vingine vingi tu
NAWASILISHA