Gambian President Yahya Jammeh introduces three-day weekends

Gambian President Yahya Jammeh introduces three-day weekends

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,230
Reaction score
10,201
Rais mwneye Vimbwanga vingi ametangaza kuwa Ijumaa itakuwa ni non - working days kwa wafanyakazi wa Serikali.
Amesema hii itawawezesha Raia kupata muda wa kutosha katika masuala ya Familia zao na Ya kijamii kwa Ujumla.
Pia ameongeza kuwa hii itawafanya Raia wake kupata muda zaid wa kulima mazao yatakayowawezesha kujipatia chakula na kuwa na afya Njema.
Kwa wale wa sector Binafsi amesema kuwa wako huru kupumzika ama kuendelea ila akasema kuwa hawatakuwa na nafasi ya
kufanya shughuli yoyote na Ofisi za Umma.

Source : Sauti ya Ujerumani na hapa chini pia
http://www.nydailynews.com/news/wor...troduces-three-day-weekends-article-1.1253581

cc Ritz , zomba , chama na Wanazi wote wa JetfastMkwer.e,
Msimuoneshe hii Habar maana alivyo mdini hakawii kutunga Safari ya Gambia kutaka ku Learn hii Policy inakaa vp ili aje kui implement Tanzania
 
Mama yangu,wapiga mpunga utawasikia wataanza kutolea mfano hili suala kujastify dai lao kuwa ijumaa iwe siku ya mapumziko. Kumbe mwenzao anasababu tofauti kabisa na za kwao. Ngojeni mtaona mkitune kale ka redio moro
 
Waislamu tuandamane ili fastjet a-copy na kupaste kwetu lol..
 
Ukiacha ijumaa kuwa mapumziko pia hufanya kazi saa 2 asb hadi saa 6 mchana then wanapumzika hadi saa 10. Ili kutoa muda wa kuswali. Hii nchi itafilisika
 
Huo ni uvivu tu, unapunguza muda wa kufanya kazi, usipoendelea unaanza visingizio vingi vya kiafrika
 
Miafrika at work.badae tunalalama poor life.
Sishangai sana maana rais jammeh mwenyewe mganga wa kienyeji
 
Kazi kwa fastjet sasa!inabidi utufikirie na sisi waislam wa tz!
 
binafsi ningeshauri siku ya ijumaa tufanye kazi mpaka saa 6, then ziishie hapo. na jmosi tufanye kazi pia nusu siku. this is my thought. not necessarily you.
 
Ukiacha ijumaa kuwa mapumziko pia hufanya kazi saa 2 asb hadi saa 6 mchana then wanapumzika hadi saa 10. Ili kutoa muda wa kuswali. Hii nchi itafilisika

Mkuu sio kweli, acha kupotosha, kwa siku nyingine , from J3 to J6, Muda wa kasi umeongezwa ku compensate siku ya Ijumaa
 
binafsi ningeshauri siku ya ijumaa tufanye kazi mpaka saa 6, then ziishie hapo. na jmosi tufanye kazi pia nusu siku. this is my thought. not necessarily you.

Sabato Masalia utawataka
 
Mi naona hata sisi mpango huo unatufaa. Tufanye kasi saa siku 4 kwa wiki, kila siku saa 10, jumla itakuwa saa 40 kwa wiki. Hata sasa tunafanya saa 40 kwa wiki (saa 8 kwa siku mara siku 5). Ni mpango mzuri sana kwetu tunaochanganya ajira na ujasiriamali.
 
Back
Top Bottom