GAMBIA:MAjeshi ya ECOWAS yajiandaa kumtoa RAIS madalakani kama akiendelea kugoma kukubali kushindwa

MSEZA MKULU

JF-Expert Member
Jul 22, 2011
3,763
5,605
Yahya-Jammeh.jpg

Baada ya miaka 22 madarakani hivi karibuni rais wa Gambia alishindwa uchaguzi wa kidemokrasia.
Cha ajabu hadi sasa ajakubali kushindwa, Majeshi ya nchi za afrika magharibi yakiongozwa na Senegal yanawekwa standby asipokubali mazungumzo ya kuachia madaraka kwa amani wamtoe kwa nguvu ya jeshi.

Kiongozi wa ECOWAS Marcel de Souza anasema, Kama anapenda wananchi wake, Yahya Jammeh atakabidhi nchi kwa amani, Vinginevyo Senegal wataongoza kikosi cha kumtoa kwa nguvu kijeshi
Mshindi wa uchaguzi BARROW anasema ataapishwa kuwa Rais na anategemea Marais wa afrika magharibi waudhurie bila kujali Yahya Jammeh atakuwa na position gani wakati huo.

Hii ndio afrika yetu.

Source:Forces on standby to oust Gambian president Yahya Jammeh
 
Yahya-Jammeh.jpg

Baada ya miaka 22 madarakani hivi karibuni rais wa Gambia alishindwa uchaguzi wa kidemokrasia.
Cha ajabu hadi sasa ajakubali kushindwa, Majeshi ya nchi za afrika magharibi yakiongozwa na Senegal yanawekwa standby asipokubali mazungumzo ya kuachia madaraka kwa amani wamtoe kwa nguvu ya jeshi.

Kiongozi wa ECOWAS Marcel de Souza anasema, Kama anapenda wananchi wake, Yahya Jammeh atakabidhi nchi kwa amani, Vinginevyo Senegal wataongoza kikosi cha kumtoa kwa nguvu kijeshi
Mshindi wa uchaguzi BARROW anasema ataapishwa kuwa Rais na anategemea Marais wa afrika magharibi waudhurie bila kujali Yahya Jammeh atakuwa na position gani wakati huo.

Hii ndio afrika yetu.

Source:Forces on standby to oust Gambian president Yahya Jammeh
Jeur imtoke wap huyo itakua kuna mataifa makubwa nyuma yake yanamuunga mkono thus y mpaka mkuu wa jeshi bado anamuheshim ati ni rais wake o amir jeshi mkuu wake waafrika tuna kaz sana mpaka kuja jiengua na huu umimi!
 
Yahya-Jammeh.jpg

Baada ya miaka 22 madarakani hivi karibuni rais wa Gambia alishindwa uchaguzi wa kidemokrasia.
Cha ajabu hadi sasa ajakubali kushindwa, Majeshi ya nchi za afrika magharibi yakiongozwa na Senegal yanawekwa standby asipokubali mazungumzo ya kuachia madaraka kwa amani wamtoe kwa nguvu ya jeshi.

Kiongozi wa ECOWAS Marcel de Souza anasema, Kama anapenda wananchi wake, Yahya Jammeh atakabidhi nchi kwa amani, Vinginevyo Senegal wataongoza kikosi cha kumtoa kwa nguvu kijeshi
Mshindi wa uchaguzi BARROW anasema ataapishwa kuwa Rais na anategemea Marais wa afrika magharibi waudhurie bila kujali Yahya Jammeh atakuwa na position gani wakati huo.

Hii ndio afrika yetu.

Source:Forces on standby to oust Gambian president Yahya Jammeh
HUKO NI KUINGILIA MAMBO YA NDANI YA NCHI NYINGINE NA SIDHANI KAMA HILO LITATEKELEZWA NA INGEKUWA HIVYO BURUNDI AND CO LTD ZINGESHAVAMIWA.
 
hivi Kabila na yule jamaa mwenzake mr Piere na wale jamaa wanaudundana kule mitaa ya Sudan,hivi wapo bara gani vile,Asia au America ?
wamtoe tu ila kablaa ya kumtoa yeye wawatoe wengine na wao wajitoe wenyewe.
la sivyo waende tu ila propaganda watakayokutana nayo huko,WATAIJUTIA ...........
 
hivi Kabila na yule jamaa mwenzake mr Piere na wale jamaa wanaudundana kule mitaa ya Sudan,hivi wapo bara gani vile,Asia au America ?
wamtoe tu ila kablaa ya kumtoa yeye wawatoe wengine na wao wajitoe wenyewe.
la sivyo waende tu ila propaganda watakayokutana nayo huko,WATAIJUTIA ...........
Wanataka kuharibu hiyo nchi.
 
Kuna kitu nyuma ya pazia kati ya
Gambia na Senegal haiwezekani
Waingilie mambo ya ndani ya nchi wawaache wagambia na nchi
Yao wenyewe wataamua nini cha kumfanya huyo bwana jammeh
K
 
Kuna kitu nyuma ya pazia kati ya
Gambia na Senegal haiwezekani
Waingilie mambo ya ndani ya nchi wawaache wagambia na nchi
Yao wenyewe wataamua nini cha kumfanya huyo bwana jammeh
K

Wagambia walishafanya uchaguzi na kumchagua wanayetaka awaongoze.
Aliyopo madarakani kakataa kukubali maamuzi ya wananchi kwa sababu tu anaungwa mkono na Makamanda waandamizi wa Jeshi.Unafikiri hawa wapigakura maskini wataipataje haki yao?.
Naunga Mkono swala la madikteta wote kutolewa kwa nguvu madarakani popote pale duniani.Hivyo ECOWAS nawaunga Mkono kuingia nchini Gambia ili kuwasaidia wapiga kura maskini.
 
Sasa wakiingia kumtoa unafikiri
Wanaenda kumuondoa panzi aliyelewa umande? Kumbuka wanajeshi bado wanamtii kwa hiyo hapo tegemea kabisa kutoka kwa wanajeshi kwenda kwa majeshi vamizi na watu watakufa
Na wananchi ndiyo wataumia
Cha msingi hapo rais mteule aache vitsho kwa jammeh wakae wamalizane mezani vita siyo nzuri hebu rejea uvamizi wa Nato kule Libya mpaka leo hii kunanuka mabomu na risasi
 
Sasa wakiingia kumtoa unafikiri
Wanaenda kumuondoa panzi aliyelewa umande? Kumbuka wanajeshi bado wanamtii kwa hiyo hapo tegemea kabisa kutoka kwa wanajeshi kwenda kwa majeshi vamizi na watu watakufa
Na wananchi ndiyo wataumia
Cha msingi hapo rais mteule aache vitsho kwa jammeh wakae wamalizane mezani vita siyo nzuri hebu rejea uvamizi wa Nato kule Libya mpaka leo hii kunanuka mabomu na risasi

Wamalizane vipi na mtu anayetaka kupindua matakwa ya wananchi?.
Kumtoa Nyoka hakuhitaji kubembelezana.Huyu amepewa kiburi na baadhi ya makamanda wa jeshi ndio maana ana kiburi.
Huwezi kujadiliana na mtu mwenye upanga mkononi isipokuwa na wewe uwe na upanga mkononi.
Kufa kwa watu hakuepukiki maana hata yeye anaogopa kuondoka baada ya kusikia atafikishwa mahakamani hivyo akiachwa au akitolewa kwa nguvu madhara ni yaleyale.
Kikubwa ni kwamba akitolewa kwa nguvu madikteta wengi watapata somo.
 
Wewe unasema kumtoa nyoka
Hakuhitaji majadiliano ili hali
Unajua nyoka mwenyewe ni BLACKMAMBA nahisi unayajua
Madhara yake
 
tena majeshi haya yamechelewa sana kumtoa huyu bwana.

Ama kweli ulevi wa madaraka mbaya sana mtu unajimilikisha Nchi kama yako?
 
Sasa wakiingia kumtoa unafikiri
Wanaenda kumuondoa panzi aliyelewa umande? Kumbuka wanajeshi bado wanamtii kwa hiyo hapo tegemea kabisa kutoka kwa wanajeshi kwenda kwa majeshi vamizi na watu watakufa
Na wananchi ndiyo wataumia
Cha msingi hapo rais mteule aache vitsho kwa jammeh wakae wamalizane mezani vita siyo nzuri hebu rejea uvamizi wa Nato kule Libya mpaka leo hii kunanuka mabomu na risasi
kagambia ni kainch kadogo sana.... zaman kalikuwa sehemu ya Senegal japo walikuwa wanaita Senegambia.. Ni kma Lesotho ndan ya S.A
 
Kama tu Zanzibar
Tofauti yake ni kuwa mwana mapinduzi Dr Shain yy alipindua akisaidiwa na Taifa la nje ambalo ni Tanganyika
Tunashangaa ya Gambia kweli wkt hapa home Tanzania yalitokea?
 
Nasema hivi Senegal wasimcheleweshe huyu. Wamkamate nakukambidhi kwa wananchi wa Gambia afanyiwe instant justice.
 
Wewe unasema Gambia ni nchi ndogo ni sawa lakini hebu Rejea
Uvamizi wa Usa nchini Vietnam
Usa na ukubwa wake alipakimbia
Huko gambia haina haja ya vita
Hapo mambo ya kidiplomasia
Yahusike kwa sana uvamizi wa
Kijeshi siyo suluhisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom