mr man city
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 467
- 319
Muda huu Clouds fm naona Gadner G Habas kaplay nyimbo ya Lady Jay Dee "joto hasira". Mtangazaji mwenzake Adam mchomvu akamuuliza "kaka vipi umerudi?"
Leo yamepiga ngoma ya YAHAYA..hatimaye na wimbo wa JD unarushwa hewani, kitambo sana sijamsikia jd kwenye clouds fm
Weka picha
Mtu mzima anaposema chai lazima mumuelewe.Jamaa anadharau komando aje kumpikia chati tu kama house girl wake.
Kweli nimesikia, joto hasira ikiwa inachezwa cloudsMuda huu Clouds fm naona Gadner G Habas kaplay nyimbo ya Lady Jay Dee "joto hasira". Mtangazaji mwenzake Adam mchomvu akamuuliza "kaka vipi umerudi?"
C alishakataa lakn wasipge wimbo wake wwteHatimaye na wimbo wa JD unarushwa hewani, kitambo sana sijamsikia JD kwenye clouds FM
naona kalegezwa akalegeaC alishakataa lakn wasipge wimbo wake wwte
Its not over until its over...
Mkuu watoto ni wengi humu.....
Kweli mkuu dah unaonekana kua u mmilisi wa fasihi ya kiswahili
Akili nyingi sana, Endelea kuwaza makubwa.Mwanaume ukiachana na manzi halafu ukawa na pigo kama hizi moyo wako utakuwa na element za kike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijitia mjuaji utaabika vibaya sana.Mambo ya mapenzi usitie neno