Gadner Habash amwomba Lady Jaydee arudi awe anampikia chai. Apiga nyimbo zake

Katika kipindi cha Power Breakfast kilicho na muundo mpya Leo hii, mtangazaji maarufu Gardner Habash aliyekuwa ametengana na mke wake mwanamuziki maarufu komando Lady J D amemuomba mtalaka wake huyo kurudisha moyo na kurudi nyumbani ili awe anampikia chai asubuhi.

Pamoja na kuachana kwao kwa kashfa na matusi hadharani je, ombi hilo linaweza kupata majibu chanya? Je, couple hiyo inapendeza kuwa pamoja tena?
Jamaa jana Kapiga nyimbo yake ya ndi ndi ndi Kweny Jahazi nlishangaa kweli
 
Hayo ni mazereu, yaani anamwita boss mzima kama JayDee aje kumpikia chai? Wanawake mnakwama wapi?
 
Mkuu Jide alimchafua sana jamaa,amenyamaza sana ,siku moja akatoa tusi moja wanawake wote wakaanza kulalamika wamedhalilishwa ,wakati Jide anatusi yeye katulia zake karibia miaka miwili hajibu,Jide got what she deserve!

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
ndivyo wanawake walivyo
 
Hii inatufundisha tusimalize maneno kwenye jambo lolote lile... kumbuka kuna kesho... baada ya kumtusi mkewe leo anatamani kurudi kwake? Gardna kipindi kile anagombana na JD alitamba mitandaoni na kwenye media kwamba kachoka kumkojoza mkewe

Hivi kama mume kazi yake ilikuwa nini kwa mkewe? kukojoza ndiyo lengo halisi la ndoa.. Matokeo yake akaja kumdhalilisha JD hadharani. Hivi alidhani akimwacha JD hatopata wa kumkojoza? Alisahau kama hapa mjini mwanaume hayuko peke yake

Tena kuna vidume vinatoa shughuli zaidi ya kukojoza sasa Gadna ameshagundua makosa yake....amegunduwa kuwa hakumkomoa JD amejikomoa mwenyewe na pengine ameshatoswa na yule aliyekuwa anamuona ni zaidi ya JD anakumbuka shuka kumekucha

Wacha mabaharia wachezee shanga za mkeo, Gadna wacha kulialia

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachie wenyewe mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo jamaa kwa jinsi alivyo mlevi..sijui kama kuna mwanamke anaweza kumvumilia asee...
 
Katika kipindi cha Power Breakfast kilicho na muundo mpya Leo hii, mtangazaji maarufu Gardner Habash aliyekuwa ametengana na mke wake mwanamuziki maarufu komando Lady J D amemuomba mtalaka wake huyo kurudisha moyo na kurudi nyumbani ili awe anampikia chai asubuhi.
Niliwahi kuandika Life After Life: Je, Wafu huwaita watu kifoni? Kuna walio hai huamua kuwafuata Wafu? Wapenzi mmoja akitangulia, mwenzake anafuata!
Wanabodi,

Jee Roho za Waliokufa Zinaweza Kuwaita Walio Hai?.
Jibu ni yes, ndio maana kwa baadhi ya mila, wamama wajawazito hawaruhusiwi kwenda makaburini, ili waliolala wasije wakaviita vichanga, na matokeo yake vikaitika na kupata still born.
Kwenye mahusiano kuna kitu kinaitwa Soul Mates, na hii ndio subject matter ya uzi wangu huu.

Hitimisho.
Kwa vile kwa sisi binadamu wote hapa duniani tuko safari tuu, kuelekea kwenye makao ya milele na maisha ya milele, tusiwalilie waliotangulia na kuhuzunika saana kwa kuwakosa, tuhuzunike kibinaadamu, kwa kulia kwa kiasi tuu, kisha maisha ni lazima yaendelee, bali pia tujiangalie sisi wenyewe, kwa nafsi zetu, jee tumejiandaa kuitika wito wakati siku yetu na saa yetu ikitakapofika?.

Kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku wala saa.
RIP Ephraim Kibonde na Ruge Mutahaba na wengine wote waliotangulia, nyinyi mbele sisi tuko nyuma yenu, sote sisi ni wa Kwake na Kwake tutarejea.

Paskali
Marafiki waliotangulia, wanazidi kuitana...

View: https://youtube.com/shorts/KMVmvFPjui4?si=G28gCVGn1VUc-Jbr
Rip Gadner G Habash
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom