Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,891
- 141,554
Makubwa haya. Hata kifo cha Kennedy na nani aliyemwua anataka Umoja wa mataifa upeleleze au uelezwe. Nani alimwandikia hiyo spichi?
For the 1st Time in 40yrs,
GREAT JOB, NIMEONA AMEmtupia Kitabu Dr. Asha Migiro!... duh!,
Naona ana-freestyling, Mpangilio hakuna lakini anasema kilicho moyoni Kwake, Inamuuma sana.
Kweli Hali ipo Tense,
B.
Naona kweli a lot of empty seats. Isn't he speaking past his alloted time?
Wapambe wake kabla hajatinga New York walikuwa wanahaha kumtafutia sehemu yenye nafasi ya kutosha ili asimike Turubai lake la Kibedui kama kawaida yake. Sijui aliishia wapi na jambo hilo, maana jamaa huwa hataki kulala ndani ya mahoteli.