Wapambe wake kabla hajatinga New York walikuwa wanahaha kumtafutia sehemu yenye nafasi ya kutosha ili asimike Turubai lake la Kibedui kama kawaida yake. Sijui aliishia wapi na jambo hilo, maana jamaa huwa hataki kulala ndani ya mahoteli.
Wamarekani kama hamtaki wageni, ondoeni makao makuu ya Umoja wa Mataifa nchini mwenu.
Hiyo habari ya town code ni ruse tu. Mbona kina Vaclav Klaus wanakuja Westchester every year na wanafanyiwa banquets kwenye vi outdoors tents kama hivyo na wala hatusikii kelele yoyote.
Angekuwa PM Gordon Brown hapo hata hizo paperwork zingefanywa na meya wa mji mwenyewe.
Semeni hamumpendi Gaddafi tu mueleweke.Gaddafi kawashtukia hoteli zao za Manhattan zote ziko bugged.