Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Tatizo la china ni nini? hujui kwa sasa China ni second largest ecomy in the world from USA, je wanakosa gani lakwenda kuangalia huo uchaguai?
isitoshe China imewekeza makampuni mengi sana huko Sudani,
isitoshe China imewekeza makampuni mengi sana huko Sudani,
Fuatilia vizuri. Hii nguvu ya umma ya Libya is partly made in the USA, siyo fully home grown. It is highly staged, haina tofauti na elections zetu.
Open your eyes man!!!! Kuna mafuta mengi Libya, Chinese wamechukua mafuta ya Sudan. Sadam alikuwa "dictator" kwa sababu alikuwa na mafuta.
Hivi unajua kwa nini waangalizi wa EU wamesema Uchaguzi wa Uganga haukuwa free and fair lakini walichelewa kutamka hivyo kuhusu Uchaguzi wetu? Hivi unajua kwamba China kwa mara ya kwanza walipeleka election observer kwenye kura ya maoni South Sudan? Chinese? Election Observers?