Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,125
Br. juma ,
Hakuna mkimbizi anayependa hali ya ukimbizi. It is a matter of being between a stone and a hard surface, ndio unakuta mtu anatoka alipotoka kwenda nchi ya mbali asioijua kwa matumaini ya hali bora. Suluhisho ni kuondoa sababu ya hawa watu kuondoka huko walipo na kwenda nchi nyingine na kuhatarisha maisha yao. Hicho ndio cha msingi.
Inabidi Africa ianze kwa kuondoa viongozi wote walioshindwa kuongoza (tukianza na CCM), hawa ni mzigo mkubwa kwa sababu ndio kama magavana wa ukoloni (na umaskini), na bila kuondoa hawa Afrika itaendelea kuwa maskini wa kutupa na kuendelea kuzalisha wahamiaji (wa kisiasa na kiuchumi) kwa miongo mingi sana ijayo. Kuendelea kuwa na hawa wafidhuli ni kwamba a common mwananchis wataendelea kutokuwa na sauti wala mtetezi.
Pili lazima dunia iangalie mgawanyo wa rasilimali. Wazungu lazima waache kuitumilia Afrika kama chanzo cha malighafi nafuu na kuturudishia kama bidhaa kwa bei zaidi ya mara 10 ya malighafi tuliyowapa kupitia mikataba feki na udhibiti hafifu wa watawala wetu ambao ni magavana wa kikoloni. Lazima dunia iangalie jinsi ya ku-balance baina ya masoko, bei, mazao na malighafi pamoja na labour force. Kusipokuwa na balance, lazima watu wanaoona kuwa wapo compromised na kupigika na maisha wataenda kule kwenye neema, hivo ndivyo ilivyo..sayansi inatuambia kukiwa na mabadiliko system itajiaadjust ili kuondoa effect ya mabadiliko, hamna mwenye uwezo wa kuzuia hayo mabadiliko ya system..hata huyo mwarabu koko Gadafi.
Hakuna mkimbizi anayependa hali ya ukimbizi. It is a matter of being between a stone and a hard surface, ndio unakuta mtu anatoka alipotoka kwenda nchi ya mbali asioijua kwa matumaini ya hali bora. Suluhisho ni kuondoa sababu ya hawa watu kuondoka huko walipo na kwenda nchi nyingine na kuhatarisha maisha yao. Hicho ndio cha msingi.
Inabidi Africa ianze kwa kuondoa viongozi wote walioshindwa kuongoza (tukianza na CCM), hawa ni mzigo mkubwa kwa sababu ndio kama magavana wa ukoloni (na umaskini), na bila kuondoa hawa Afrika itaendelea kuwa maskini wa kutupa na kuendelea kuzalisha wahamiaji (wa kisiasa na kiuchumi) kwa miongo mingi sana ijayo. Kuendelea kuwa na hawa wafidhuli ni kwamba a common mwananchis wataendelea kutokuwa na sauti wala mtetezi.
Pili lazima dunia iangalie mgawanyo wa rasilimali. Wazungu lazima waache kuitumilia Afrika kama chanzo cha malighafi nafuu na kuturudishia kama bidhaa kwa bei zaidi ya mara 10 ya malighafi tuliyowapa kupitia mikataba feki na udhibiti hafifu wa watawala wetu ambao ni magavana wa kikoloni. Lazima dunia iangalie jinsi ya ku-balance baina ya masoko, bei, mazao na malighafi pamoja na labour force. Kusipokuwa na balance, lazima watu wanaoona kuwa wapo compromised na kupigika na maisha wataenda kule kwenye neema, hivo ndivyo ilivyo..sayansi inatuambia kukiwa na mabadiliko system itajiaadjust ili kuondoa effect ya mabadiliko, hamna mwenye uwezo wa kuzuia hayo mabadiliko ya system..hata huyo mwarabu koko Gadafi.