Gadaffi And Others Named As War Crimes Suspects by ICC

Gadaffi And Others Named As War Crimes Suspects by ICC

Huu unafiki wa akina Ocampo na washkaji zake unakera, unasikitisha na unatia hasira mnoooooooooo. Kimsingi Gaddafi kama kiongozi ana matatizo yake and so is Obama, Cameron, Sarkozy and there friends, Kwa hiyo nashindwa kuelewa walitarajia kitu gani walipoamua kumpiga mabomu. All in all huenda Gaddafi ana kesi ya kujibu lakini hivi ni kweli Crimes against humanity kafanya Gaddafi tu peke yake. Mbona hawajamshtaki Bush, Blair, yule bwana wa australia, na washirika wao kwa makosa kama hayo waliyofanya kule Iraq na Afghanistan. Halafu hivi hii mahakama ni kwa ajili ya viongozi wa Africa tuu!!!!!!!!!!!!! Yaani tunarudishwa kwenye UTUMWA MBAYA sana bila sisi wenyewe kujua na huku wengine tukishangilia. Huwa ninasema na leo ninasisitiza waafrika inabidi tusimame na kushughulikia matatizo yetu wenyewe, Inabidi ifikie mahali watu tukubali kulipa gharama ya mageuzi. Sio kukaa kunung'unika na kutegemea Ocampo aje kumuondoa Museveni and the like.

Nina hasira sana na ubeberu wa hawa jamaa.
 
Huu unafiki wa akina Ocampo na washkaji zake unakera, unasikitisha na unatia hasira mnoooooooooo. Kimsingi Gaddafi kama kiongozi ana matatizo yake and so is Obama, Cameron, Sarkozy and there friends, Kwa hiyo nashindwa kuelewa walitarajia kitu gani walipoamua kumpiga mabomu. All in all huenda Gaddafi ana kesi ya kujibu lakini hivi ni kweli Crimes against humanity kafanya Gaddafi tu peke yake. Mbona hawajamshtaki Bush, Blair, yule bwana wa australia, na washirika wao kwa makosa kama hayo waliyofanya kule Iraq na Afghanistan. Halafu hivi hii mahakama ni kwa ajili ya viongozi wa Africa tuu!!!!!!!!!!!!! Yaani tunarudishwa kwenye UTUMWA MBAYA sana bila sisi wenyewe kujua na huku wengine tukishangilia. Huwa ninasema na leo ninasisitiza waafrika inabidi tusimame na kushughulikia matatizo yetu wenyewe, Inabidi ifikie mahali watu tukubali kulipa gharama ya mageuzi. Sio kukaa kunung'unika na kutegemea Ocampo aje kumuondoa Museveni and the like.

Nina hasira sana na ubeberu wa hawa jamaa.

Hapo ndo mzizi wa fitna ulipo. Tunakaa chini tunachagua viongozi wajinga wajinga harafu tunapiga mayowe kwa akina Ocampo waje kutusaidia...
 
I used to LOVE ICC lakini Moreno Ocampo is taking us in a wrong direction! Let his term end and we get a new Prosecutor (hopefully he/she will do a better job). This man has become a complete liability with lack of professionalism kabisa. I hope ICC supporters will have to sit down and do some soul-searching on the future of this important institution. Ocampo can indict all African tyrants, but he can be sure that without positive image of the Court among these Africans, the Court will achieve nothing. He is really kinda of patronizing the continent. I hate these dictators we have, but..Africa is bigger than personalities and this is what Ocampo and his European supporters miss. Why should he be controlled by western agendas? Well, let us wait and see the end game of Ocampo and Africa.

The another problem with Mr Ocampo is his love to media. He sounds like a publicity secretary to ICC not as a chief prosecutor
 
The another problem with Mr Ocampo is his love to media. He sounds like a publicity secretary to ICC not as a chief prosecutor
This would not be a problem if he was doing his job appropriately.
 
Jana Moreno Ocampo ametangaza kuomba arrest warrant ya kumkamata Gadafi na wanawe, Gadafi anaua watu wake kwa kuwa yeye analinda madaraka yake. Waasi wanaua askari wa Gadafi kwa kuwa wao wanataka madaraka, je kumshitaki Gadafi peke yake waasi ni watu gani au ni halali kuasi?
 
Huu unafiki wa akina Ocampo na washkaji zake unakera, unasikitisha na unatia hasira mnoooooooooo. Kimsingi Gaddafi kama kiongozi ana matatizo yake and so is Obama, Cameron, Sarkozy and there friends, Kwa hiyo nashindwa kuelewa walitarajia kitu gani walipoamua kumpiga mabomu. All in all huenda Gaddafi ana kesi ya kujibu lakini hivi ni kweli Crimes against humanity kafanya Gaddafi tu peke yake. Mbona hawajamshtaki Bush, Blair, yule bwana wa australia, na washirika wao kwa makosa kama hayo waliyofanya kule Iraq na Afghanistan. Halafu hivi hii mahakama ni kwa ajili ya viongozi wa Africa tuu!!!!!!!!!!!!! Yaani tunarudishwa kwenye UTUMWA MBAYA sana bila sisi wenyewe kujua na huku wengine tukishangilia. Huwa ninasema na leo ninasisitiza waafrika inabidi tusimame na kushughulikia matatizo yetu wenyewe, Inabidi ifikie mahali watu tukubali kulipa gharama ya mageuzi. Sio kukaa kunung'unika na kutegemea Ocampo aje kumuondoa Museveni and the like.

Nina hasira sana na ubeberu wa hawa jamaa.

Tunarudishwa kwenye utumwa tungali macho, ndio maana wakenya wamekwishajitoa ICC, waafrika sometimes huwa wanasaini vitu wasivyovijua, majority ya nchi zilizoko kwenye ICC ni za afrika, mbona wachina na wahindi walikataa kusaini?Inabibi tudumishe mahakama zeu na tujitoe moja kwa moja kutoka katika hicho chombo cha mabeberu. In 1000 years Bush au Tony blair hawatachukuliwa hatua yoyote, ingawa wameua raia milioni moja iraq wasio na hatia.
 
jana moreno ocampo ametangaza kuomba arrest warrant ya kumkamata gadafi na wanawe,gadafi anaua watu wake kwa kuwa yeye analinda madaraka yake,waasi wanaua askali wa gadafi kwa kuwa wao wanataka madaraka, je kumshitaki gadafi peke yake waasi ni watu gani au ni halali kuasi?

waasi hawana makosa kwa sababu wamepewa uhuru wa kuuwa na nchi za magharibi,hawahisabiwi hata waue milion. Na siku zamu yao ikiisha wangine watapewa, umeme kwa mgao!!
 
acampo na mahakama yake is chochote bali ni kama mwanasesere aliyeumbwa na nchi za magaharibu kwa ajili ya kulainisha mambo duniani ili yaende kwa mujibu wa maslahi yao, iwe kiuchumi, kitamaduni, kisiasa japo kutaja kwa uchache. Hebu fikiria kundi la watu wanaotumia silaha kutaka kuondosha madarakani kiongozi halali wa nchi kwa kawaida wanabatizwa kuwa ni waasi na kila taifa huwa linashindana katika kulaani jambo hilo...lakini kwa libya mambo ni tofauti na nadhani kunatafutwa msamiati mpya ya kuhalalisha uasi huo.:grouphug:
 
Double Standards at its best.

Kama ICC sio kanyaboya kwa nini USA haja-edorse mkataba kuikubali???
 
Ocampo mpuuzi tu hata alipokuja kenya nilitamani asogee ule ukanda wetu wa Tarime nimpige panga la nguvu bahati yake akaishia kisumu...mnafiki sana na hii mizungu naichukia sana..sijui hii dunia tutafanyaje hebu jamani tushauriane tutawadhibiti vipi hapa manyangau?!!! rebels unawafanyaje kama wanapiga risasi ukae kimya ama?!!! hii dunia haiana haki..haya mazungu yameitawala yamezoea kuna mwisho wao!!
 
Hapo ndo unaona Double-Standards za dunia yetu. Ghadaffi anatolewa arrest warranty for crimes against humanity, lakini counterparts wa Syria na Bahrain au Yemen hao wala hata hawaongelewi licha ya kwamba uhalifu wao "against humanity" ni mbaya hata kuliko Ghadaffi. Bado jamaa wanampa makombora ya nguvu kutoka NATO, wanawatrain na kuwa-finance the so called liberators/ waasi. Je hao wa Yemen, Syria au Bahrain sio binadamu kwenye standards za Ocampo au ni kwa sababu West haina economic interests huko?
 
Sasa waasi c wanatayarishwa kuja kutoa sadaka ya mafuta kwa nchi za maggaribi bwana! na wao siku zao zinahesabiwa coz wakishachukua mafuta yakaisha na wao wataitwa wauaji! UKIONA SIMBA KAWA RAFIKI YAKO UJUE HANA NJAA
 
Hapo ndo unaona Double-Standards za dunia yetu. Ghadaffi anatolewa arrest warranty for crimes against humanity, lakini counterparts wa Syria na Bahrain au Yemen hao wala hata hawaongelewi licha ya kwamba uhalifu wao "against humanity" ni mbaya hata kuliko Ghadaffi. Bado jamaa wanampa makombora ya nguvu kutoka NATO, wanawatrain na kuwa-finance the so called liberators/ waasi. Je hao wa Yemen, Syria au Bahrain sio binadamu kwenye standards za Ocampo au ni kwa sababu West haina economic interests huko?

Imenigusa,
  • Bahrain wameuliwa sana raia wakisaidiwa na vibaraka Saudia...Ocampo hakunena,
  • Yemen yule rais pale kaua raia wengi lakini...ocampo hakunena,
  • Bashar al-Assad anaendeleza vitu vyake pale Syria lakini...Ocampo haneni,
  • Israel tawala zao zote zawaua na kuwakandamiza Palestinians lakini...ICC haipazi sauti,
  • USA pale Afghanistan inazidi kuua raia na mara kadhaa (kwa bahati mbaya kuua raia na si Taliban) lakini hata baraza la usalama halipazi sauti.
  • Ivory Coast Gbabo & Ouatara wameuua raia wengi ktk mbio zao za madaraka lakini...Ocampo hajatoa warranty kwao.
Yatia mashaka sana katika haya mambo ya international agreements na vyombo vyao kama NATO, EU, UN SECURITY COUNCIL etc, vipo wasmi kwa maslahi ya wamagharibi na si ktk kuwatendea haki viumbe wa dunia hii. Hawatendi haki kabisa, mnyonge mnyongeni lakini HAKI YAKE MPENI.
 
Kuna tatizo kubwa zaidi la kimfumo na namna tunavyochukulia mambo kama waafrika. Wengi tumekaa tunasubiri wamarekani watuletee haki na maendeleo, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea. Kifupi ni kwamba tukiendelea hivi hawa jamaa wataendelea kutuendesha kama gari bovu. Halafu mimi huwa nashindwa kuelewa ni kwanini tunalalamika sana, kwa sababu nachowapendea wamarekani, wala huwa hawafichi malengo yao. Wameshasema kuwa wao mahali popote pale duniani wanachoangalia ni maslahi yao tu.

Mimi nadhani ifike wakati tuache kulalama na tufikirie ni namna gani tutajikwamua kutoka kwenye minyororo ya ubeberu na utumwa unaoanza kurudi kwa kasi sana. Ni kweli kuwa Marekani ni taifa lenye nguvu lakini pia ni kweli kama unaamini uwepo wa M'mungu utakubaliana na mimi kuwa mungu hana upendeleo. Tukifanya kazi kwa bidii na mipango na kutambua nafasi yetu katika dunia hii, nina imani na hakika kuwa M'mungu atatufikisha kama alivyowafikisha wengine.
 
Kuna tatizo kubwa zaidi la kimfumo na namna tunavyochukulia mambo kama waafrika. Wengi tumekaa tunasubiri wamarekani watuletee haki na maendeleo, ni kitu ambacho hakiwezi kutokea. Kifupi ni kwamba tukiendelea hivi hawa jamaa wataendelea kutuendesha kama gari bovu. Halafu mimi huwa nashindwa kuelewa ni kwanini tunalalamika sana, kwa sababu nachowapendea wamarekani, wala huwa hawafichi malengo yao. Wameshasema kuwa wao mahali popote pale duniani wanachoangalia ni maslahi yao tu.

Mimi nadhani ifike wakati tuache kulalama na tufikirie ni namna gani tutajikwamua kutoka kwenye minyororo ya ubeberu na utumwa unaoanza kurudi kwa kasi sana. Ni kweli kuwa Marekani ni taifa lenye nguvu lakini pia ni kweli kama unaamini uwepo wa M'mungu utakubaliana na mimi kuwa mungu hana upendeleo. Tukifanya kazi kwa bidii na mipango na kutambua nafasi yetu katika dunia hii, nina imani na hakika kuwa M'mungu atatufikisha kama alivyowafikisha wengine.
Mwenzio Gaddaffi, ana mawazo kama hayo, na misimamo yake iliikuwa wazi...! Wakubwa wa hii dunia hawakupenda kumuona anaelekea kwenye mafanikio na kutokuwa tegemezi, amekuwa ni hatari kwa maslahi yao na sasa ona kinachompata.
 
Jana Moreno Ocampo ametangaza kuomba arrest warrant ya kumkamata Gadafi na wanawe, Gadafi anaua watu wake kwa kuwa yeye analinda madaraka yake. Waasi wanaua askari wa Gadafi kwa kuwa wao wanataka madaraka, je kumshitaki Gadafi peke yake waasi ni watu gani au ni halali kuasi?

Wandugu haya maswali mengine? Common sense yako inakuambiaje ktk hili?
 
Double Standards at its best.

Kama ICC sio kanyaboya kwa nini USA haja-edorse mkataba kuikubali???

I hope ur not suggesting kuwa anacho endorse Mmarekani ndio standard ya dunia.
 
Imenigusa,
  • Bahrain wameuliwa sana raia wakisaidiwa na vibaraka Saudia...Ocampo hakunena,
  • Yemen yule rais pale kaua raia wengi lakini...ocampo hakunena,
  • Bashar al-Assad anaendeleza vitu vyake pale Syria lakini...Ocampo haneni,
  • Israel tawala zao zote zawaua na kuwakandamiza Palestinians lakini...ICC haipazi sauti,
  • USA pale Afghanistan inazidi kuua raia na mara kadhaa (kwa bahati mbaya kuua raia na si Taliban) lakini hata baraza la usalama halipazi sauti.
  • Ivory Coast Gbabo & Ouatara wameuua raia wengi ktk mbio zao za madaraka lakini...Ocampo hajatoa warranty kwao.
Yatia mashaka sana katika haya mambo ya international agreements na vyombo vyao kama NATO, EU, UN SECURITY COUNCIL etc, vipo wasmi kwa maslahi ya wamagharibi na si ktk kuwatendea haki viumbe wa dunia hii. Hawatendi haki kabisa, mnyonge mnyongeni lakini HAKI YAKE MPENI.

+1

Suala la Bahrain ndio linaniuma sana, mostly because the media (especially Western media) is completely ignoring it. Lakini, what can we expect? The US is in control of the UN, and the US has always been a hypocrite when it comes to its foreign policy. Look how it jumps at any chance to attack Iran, but when it comes to its Bahraini and Saudi allies, it has absolutely nothing to say. It's time that the world, especially sisi Waafrika, wakes up!
 
Mimi wamarekani siwapendi na nashangaa sana wanavyoendelea kununua nchi yetu tunakwisha watanzania na africa kwa ujumla mimi naomba serikali yetu itukomboe kwahili maana tuko kwenye mikono mibaya sana. Naomba kama viongozi wataifa letu wanasoma hii msg wajue kuwa eu, u.s.a ni maadui na siyo marafiki wa maendeleo yao, mchina amejionyesha wazi hataki kuingilia mambo ya watu wa kuonyesha urafiki wa kweli.
Tujaribu kuepuka kusign mkataba yaajabu sana je mmarakani yupo kwenye icc?
Take care
 
Back
Top Bottom