Gabriel Mwita wa CHADEMA unataka Nini?

Gabriel Mwita wa CHADEMA unataka Nini?

Gentleman,
sasa wewe hoja yako iko wapi zaidi ya chuki, mihemko, ghadhabu na makasiriko dhidi ya huyo muungwana msema ukweli kwamba no reform no elections ni useless, nonsense, null and void?🐒

Acha kutumia neno muungwana vibaya.
 
Mleta mada umeleta HOJA KUNTU kabisa...Hata Mama Samia anajua kabisa madai ya CDM ni ya MSINGI sanq...
Naamini Mh Rais atakubali kufanya reforms hata marekebisho madogo ya Katiba ili kupata tume huru, shirikishi na ya haki kwa maslahi mapana ya Mama Tanzania

Na hili ndilo nalo liona. Lazima watakaa nakukubaliana kabla ya uchaguzi mkuu.
 
lakini Chadema huwa wanasema kutoa maoni tofaut ni haki,
nadhani hata Lisu aliwahi kusema Chadema HQ inanuka rushwa na ikaonekana ni uhuru wa kutoa maoni,

kulikoni mtu kusema no reform no elections ni useless, nonsense, null and void agenda kulingana na maoni na mtazamo wake iwe ni usaliti leo?🐒

Tofautisha kutoka maoni na dhihaka

Alichofanya Leo huyo msaliti ni dhihaka dhidi ya chama. Unapinga maamuzi ya vikao vya chama na kumpelekea lawama Lissu wakati maamuzi hayo yalifanyika Chini ya Mbowe. Kijana Hana nidhamu.
 
Mamluki ndani ya CHADEMA Wana hoja za kitoto Sana.
 
The dictator uchwara wants to be on the ballots all by himself, so he's trying to force everybody else to stay away.
and because of the rejections of his useless and nonsense agenda of no reform no elections by citizens, the gentleman is looking like confused man for sure 🐒
 
Tofautisha kutoka maoni na dhihaka

Alichofanya Leo huyo msaliti ni dhihaka dhidi ya chama. Unapinga maamuzi ya vikao vya chama na kumpelekea lawama Lissu wakati maamuzi hayo yalifanyika Chini ya Mbowe. Kijana Hana nidhamu.
hiyo agenda inayopingwa kila mahali, maamuzi yake yalifanyika wakati akina sugu na aida hawakuwepo sio?
Yalifanyika wakati watangaza nia za ubunge, udiwa na urais hawakuwepo sio?

na lisu pia hakuwepo?
mbona ametangaza nia ya kugombea urais na kwa maana hiyo anajipanga kushiriki kikamilifu uchaguzi mkuu wa October mwaka huu?

Yaa kutangaza nia na kuikataa no reform no elections ni kwa Julius Mwita tu na sio kwa watangaza nia wengine hao wote ikiwa ni pamoja na lisu, right?🐒
 
Acha kutumia neno muungwana vibaya.
sasa gentleman,
nadhani wew ndio unatumia usaliti vibaya kwa kumsingizia msema ukweli mwita, hali ya kua wasaliti wabobevu tena wenye laana kama mzee slaa ndio wanaonekana watu safi wenye roho safi kama pamba right ndani ya Chadema?🐒
 
Kama hataki Reforms akagombee chama kingine.
reforms zilishafanyika ndio maana Lisu na watangaza nia wa Chadema wengine watashiriki kikamilifu uchaguzi wa October mwaka huu gentleman 🐒
 
reforms zilishafanyika ndio maana Lisu na watangaza nia wa Chadema wengine watashiriki kikamilifu uchaguzi wa October mwaka huu gentleman 🐒

..Bakwata kupitia Katiba Mtendaji Alhaj Mruma wamesema kunahitajika reforms zaidi.

..Shura ya Maimamu kupitia Shekhe Ponda wameitaka serikali kufanya reforms zaidi.

..Ndugu zangu acheni kushupaza shingo.
 
Gabriel Mwita haogopi uchaguzi.CHADEMA ili mpate dola lazima mshiriki uchaguzi na kuchaguliwa.Ni chama mfu tu kinachoogopa uchaguzi kwa visingizio vya kitoto
Fanyeni reforms ,twende kwenye uchaguzi ,hatutaki mayowe yenu uchwa ccm
 
hiyo agenda inayopingwa kila mahali, maamuzi yake yalifanyika wakati akina sugu na aida hawakuwepo sio?
Yalifanyika wakati watangaza nia za ubunge, udiwa na urais hawakuwepo sio?

na lisu pia hakuwepo?
mbona ametangaza nia ya kugombea urais na kwa maana hiyo anajipanga kushiriki kikamilifu uchaguzi mkuu wa October mwaka huu?

Yaa kutangaza nia na kuikataa no reform no elections ni kwa Julius Mwita tu na sio kwa watangaza nia wengine hao wote ikiwa ni pamoja na lisu, right?🐒

Punguza kuongea uongo. Lissu kasema naye anatamani kugombea urais ila hiyo tamaa amejiweka pembeni.
 
and because of the rejections of his useless and nonsense agenda of no reform no elections by citizens, the gentleman is looking like confused man for sure 🐒

Which citizens are you talking about?. Don't hide in a room and think that everybody has the same thoughts as yours.
 
Back
Top Bottom