Gabriel Mwita wa CHADEMA unataka Nini?

Gabriel Mwita wa CHADEMA unataka Nini?

Mleta mada umeleta HOJA KUNTU kabisa...Hata Mama Samia anajua kabisa madai ya CDM ni ya MSINGI sanq...
Naamini Mh Rais atakubali kufanya reforms hata marekebisho madogo ya Katiba ili kupata tume huru, shirikishi na ya haki kwa maslahi mapana ya Mama Tanzania
 
lakini Chadema huwa wanasema kutoa maoni tofaut ni haki,
nadhani hata Lisu aliwahi kusema Chadema HQ inanuka rushwa na ikaonekana ni uhuru wa kutoa maoni,

kulikoni mtu kusema no reform no elections ni useless, nonsense, null and void agenda kulingana na maoni na mtazamo wake iwe ni usaliti leo?šŸ’
Kusema HQ kama inanuka hii kauli ipo kwa mtu binafsi sio ya Chama. Lakini chama kuja na msimamo na mmoja wao kusaliti huo msimamo huyu ana tatizo binafsi.
 
Inamuuma kutumbulia mkuuu,
Anajihesabia haki kwa koti la kuazimaa

Huwezi kuwa kwenye cheo cha kuazima

Afu ujione wewe ndio Mwenyekiti

Wenye haki pale ni Lissu na Heche wengine wote any time kinanukaa

Kweli kabisa mkuu
 
huyo muungwana,
ni miongoni mwa wanachadema waandamizi wenye ushawishi mkubwa zaidi ndani ya Chadema aliefanikisha no reform no elections kupuuzwa kabisa miongoni mwa wanachadema hususan watangaza nia za kugombea urais,ubunge na udiwani.

Infact ,
ndie aliemlazimisha hata Lisu kutangazwa kua miongoni mwa wanachadema waandamizi waliotangaza nia za kugombea urais Uchaguzi mkuu wa October,

na kuifanya useless no reform no elections kua completely nonsense, null and void kuanzia sasa kuelekea Uchaguzi mkuu šŸ’

Kama hataki Reforms akagombee chama kingine.
 
Gabriel Mwita haogopi uchaguzi.CHADEMA ili mpate dola lazima mshiriki uchaguzi na kuchaguliwa.Ni chama mfu tu kinachoogopa uchaguzi kwa visingizio vya kitoto

Aende NCCR ambapo hawaogopi uchaguzi. Mnataka muhalalishe haramu kwa kuwaingiza CHADEMA kwenye mtego kama 2024. Shirikini nyie CCM na vibaraka wenu.
 
waisome mamluki wote wote waliopo CDM nakazia hapa
Kama unataka kugombea ubunge na unaona una ushawishi wa kushinda , tafuta chama kinachokubalika hata CCM , NCCR kagombee, maana kugombea ni haki yako siyo lazima iwe CHADEMA

Kweli mkuu. Mamluki wasikisumbue chama.
 
Yes,
becoz Lisu will be on ballots gentleman šŸ’

If reforms take place before the September, Lissu shall be in the ballot, but if no reforms take place Lissu shall not be in the ballot.
 
Kwenye vyama vya siasa kuna wasaliti/usalama wa kufanya au kutoa kauli zinazo kingana na chama chao. Hawa wasaliti wapo kila kona ya kazi na jumuiya ili kuleta kauli tata ya kuwa changanya watu wenye msimamo mmoja na kuwatoa kwenye huo msimamo.

Yeah! Kweli kabisa.
 
Kwenye vyama vya siasa kuna wasaliti/usalama wa kufanya au kutoa kauli zinazo kingana na chama chao. Hawa wasaliti wapo kila kona ya kazi na jumuiya ili kuleta kauli tata ya kuwa changanya watu wenye msimamo mmoja na kuwatoa kwenye huo msimamo.

Yeah! Kweli kabisa.
 
Unatapqtapa tu huna hoja.
Huyo mpuuzi tunampuuza na tutamshughulikia muda muafaka ukifika. Hawa wachumia tumbo wamekihujumu chama kwa muda mrefu sana

Huyo jamaa ni mchumia tumbo hatari. Tena hatari Sana.
 
Back
Top Bottom