Kwani Msigwa umemsikia tena?Wakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia Act wazalendo, maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka cuf, lkn G55 kila siku wanaishambulia chadema.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi
Haifiki mbali
Hata akiita mkutano sasahivi zitaenda hizo jambo media na bongo trendingKwani Msigwa umemsikia tena?
Secretariet yao ilijaa RUSHWA na walijineemesha wao binafsi kwa pesa na maluku ya chama.Wakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia Act wazalendo, maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka cuf, lkn G55 kila siku wanaishambulia chadema.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi
Haifiki mbali
Sio kufika mbali imeshajifia kama CCJ yani aliewatanguliza kasoma upepo anasungusi na shughuli yao ndio inaishia hapoWakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia Act wazalendo, maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka cuf, lkn G55 kila siku wanaishambulia chadema.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi
Haifiki mbali
Wale ni Wachaga wanaumia kupokonywa Chama chao mana kilikuwa cha KikabilaWakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia Act wazalendo, maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka cuf, lkn G55 kila siku wanaishambulia chadema.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi
Haifiki mbali
We jamaa una viashiria vya kuwa mtu mkweli, mana sio wa moto wala wa baridi, bali wewe ni wa vuguvugu, ila itakua bora ukidhihirisha upande wako mapema kabla hujavaa vazi la unafiki.Wanataka kumtapeli Wakili msomi Hashim Rungwe chama chake cha Chaumma
Hawajui Bahari Motors ni mtoto wa town kitambo sana
Iwapo Malaria2 umeyatamka bora hao G55 washike majembe wakalimeWakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali
Kweli kabisa haiwezekani wake zao Covid19 wawe bungeni miaka 5 kisha wamfurahie Lissu aliesema kwamba ili warudi chadema hao covid 19 lazima wasema waliingia ingiaje bungeni. Ndiyo maana waume zao wanatoa vilio ya kubaguliwa, kutokusikilizwa na mengine yasiyoeleweka. Eti Lissu dikteta anafukuza kila mtu mwenye mawazo tofauti na yeye wakati huyo Lissu mwenyewe yupo Gerezani.Secretariet yao ilijaa RUSHWA na walijineemesha wao binafsi kwa pesa na maluku ya chama.
Huwezi kuniambia mtu ambaye mkewe alikuwa bungeni covid 19 kwa miaka 5 ati leo amefurahi lisu kushinda.
Wakati wa ucaguzi walikula pesa za wagombea ili wawapitishe kugombea. Mfano mrema alifanya kama mradi wake.
Kwani tangu akina Ben Kigaila, Salum Mwalimu na Catherine Ruge kutaja wachache walipojiondoa jana wameishaongea chochote kuhusu Chadema? Tujuzane!Wakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali
Muda utatoa jibu....kwani wamesema wanahamia wapi ?Wakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali
Sio kweli , wachaga kibao tu wapo na lisu, kwanza sisi wachaga tulikua tunawashangaa mnamwaminije yule mkali.Wale ni Wachaga wanaumia kupokonywa Chama chao mana kilikuwa cha Kikabila
Hawa ni gesi ya soda tu...Wakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali
Wala wao hawaitaji kufika mbali wao wanataka walambe fedha za uchaguzi kila mtu akafe na chake kundi la wajanja wajanja watupu .wanataka kuwalaghai watanzania watazaia siyo mapoyoyo kama wanavyo dhani.Fedha nyie chukuweni kwasababu zipo nje nje mkisha zimaliza nyie rudini tujenge chamaWakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali
Wakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali