Kwa hiyo wajue hapo hata hajapanda juu ya mezaKabisa mkuu. Unajua Malaria2 ni muislam safi. Ameona awaambie hao ukweli wao.
Alama ni usalitiSijui walipeanaje nafasi hizo. Benson ni mtupu kabisa. Alipataje nafasi kama ya Heche kwa sasa ya makamu mwenyekiti?. Hajaacha alama yoyote.
Watu wanajizima data snSecretariet yao ilijaa RUSHWA na walijineemesha wao binafsi kwa pesa na maluku ya chama.
Huwezi kuniambia mtu ambaye mkewe alikuwa bungeni covid 19 kwa miaka 5 ati leo amefurahi lisu kushinda.
Wakati wa ucaguzi walikula pesa za wagombea ili wawapitishe kugombea. Mfano mrema alifanya kama mradi wake.
Hata lyatonga mrema umaarufu wake uliishia NCCR.Watu wanajizima data sn
Ht hili hawalioni
Hata lyatonga mrema umaarufu wake uliishia NCCR.
Hata Zitto umaarufu wake uliishia CDM
Leo LIPUMBA siyo lolote pae CUF .Aliahidiwa pesa za kukiharibu chama akatapeliwa.
Usimpe mkataze usimkate
G55 wamedanganywa wakajaa. Sasa jivi wanaficha sura zao maana kila mtu anawaona wasaliti japo ni haki yao ya kisiasa. Wrong timingWakati maalim seif kuhama cuf na kuhamia ACT Wazalendo, Maalim na team yake walikuwa mwisho kuitamka CUF, lkn G55 kila siku wanaishambulia CHADEMA.
Hawa jamaa wameumia sana kukosa uongozi. Haifiki mbali