Fuvu la Goliati lagunduliwa

Fuvu la Goliati lagunduliwa

Ni huko Israeli
attachment.php

Imani ya kitu si mpaka uone kwa macho, wanajaribu kufanya historical archeology Iwe profession tu. Wanadai waliliona fuvu katika bonde la ellah ambapo Goliath aliuawa, lakini ukisoma 1st Samuel 17, utagundua kuwa baada ya Daudi kukata kichwa cha Goliath alikibeba mpaka Jerusalem:umbali wa km kama 50 hivi, basi kama kichwa kilihamishwa, kwa nini walikikuta tena kichwa hicho katika bonde la ellah, hapo walifanya fiction na fuvu la bandia. Halafu kama kichwa kilikatwa na David na kusafirishwa, basi fuvu na mifupa ya mwili havikua pamoja. Sasa hiyo picha inaonyesha fuvu la kichwa na mbavu vyote vinaonekana pamoja kwenye picha hiyo. Ni uwongo.
 
Watakua wameona ngeu aliyopigwa jiwe na Daudi!!!

Wana takwimu gani zinazoonyesha idadi ya watu waliouwawa kwa kupigwa na jiwe kwenye paji la uso. Ni kitu gani kimewathibitishia kuwa ni Goliath peke yake aliewahi kuuwawa hivyo?
 
kwan wewe nani aliekwambia kwamba kichwa na kiwilwili vilizikwa tofauti?...

umeelewa kilichonifanya niandike hivyo?umemuelewa niliemjibu hivyo?anyway,wewe nani alikwambia kuwa kichwa na kiwiliwili cha goliat vilizikwa pamoja?onyesha andiko.
 
Kwenye picha ya kwanza kabisa hakuna ngeu kwenye paji la uso lakini kwenye picha ya pili kuna jiwe kabisa kwenye paji la uso.
Haimaanishi kuwa hayo ni mafuvu mawili tofauti?
 
kwan wewe nani aliekwambia kwamba kichwa na kiwilwili vilizikwa tofauti?...

umedandia treni mbele bila kuelewa nilichoandika,anyway kwani wewe uliambiwa na nani kuwa vilizikwa pamoja?
 
asheknaz jews ni wahuni wakubwa. uongo mkubwa. haya mazombie kazi kwenu kajazaneni jerusalem kwa utalii !
 
angalia lile jiwe la kombeo lilinonasa kwenye paji la uso, unataka ushahidi gani tena zaidi ya huo
Unataka kusema ni Goliati tu aliewai kuuwawa kwa Kombeo.?

Wenzenu wanatafuta watalii kwa kila mbinu, kwa jinsi Wakristo tunavyopenda utalii wa kibiblia watu wataanza kumiminika huko.
 
Kumbe alikuwa na bichwa kubwa...sasa ilikuwaje akafa kizembe??
 
Back
Top Bottom