Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Ahali zangu kuna wimbi kubwa huko Tanzania la watu wasiokuwa waislamu kufutarisha waislamu na wasiowaislamu.
Vile vile kuna waislamu wanafutarisha wale wasiokuwa waislamu na kutumia futari kama njia ya kujijenga kisiasa.
Tukirudi kwenye Uislam tunaona kamba Allah amesema wazi kuwa anayestahiki kufunga mwezi huu wa waislamu ni wale walioamini tu na si vinginevyo.
Vile vile Imesisitizwa kwa kila aliyenacho amlishe masikini ndio maana mwezi huu watu wengi sana wanatoa futari na kuwapa maskini ili nao wajisikie vizuri katika funga zao.
Uislamu umesisitiza wazi kuwa ni lazima tuwapende wagonjwa,yatima, wazee na wasiojiweza. kama mtu anataka kufutarisha imesisitizwa kuyaangalia makundi hayo ya yatima, wazee,vikongwe na wasiojiweza na kuyapa futari au kufuturisha.
Sasa naona huko Tanzania, raisi anafutarisha matajiri na wasio waislamu akti anawaacha yatima, wazee na wasiojieza.
Dr Hamza Yusuf Al-Naamani
Doha. Qatar
Vodacoma na Dr Dafutari anajistaisha kisiasa kule wete kwa kufutarisha.
hakika hii ni mbaya na hakuna faida yoyote toka kwa muumba.
Vile vile kuna waislamu wanafutarisha wale wasiokuwa waislamu na kutumia futari kama njia ya kujijenga kisiasa.
Tukirudi kwenye Uislam tunaona kamba Allah amesema wazi kuwa anayestahiki kufunga mwezi huu wa waislamu ni wale walioamini tu na si vinginevyo.
Vile vile Imesisitizwa kwa kila aliyenacho amlishe masikini ndio maana mwezi huu watu wengi sana wanatoa futari na kuwapa maskini ili nao wajisikie vizuri katika funga zao.
Uislamu umesisitiza wazi kuwa ni lazima tuwapende wagonjwa,yatima, wazee na wasiojiweza. kama mtu anataka kufutarisha imesisitizwa kuyaangalia makundi hayo ya yatima, wazee,vikongwe na wasiojiweza na kuyapa futari au kufuturisha.
Sasa naona huko Tanzania, raisi anafutarisha matajiri na wasio waislamu akti anawaacha yatima, wazee na wasiojieza.
Dr Hamza Yusuf Al-Naamani
Doha. Qatar
Vodacoma na Dr Dafutari anajistaisha kisiasa kule wete kwa kufutarisha.
hakika hii ni mbaya na hakuna faida yoyote toka kwa muumba.