Babylon
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 1,332
- 82
Tofauti ni kwamba Wazungu hawakufanya hivyo, na huoni vitendo kama hivyo vimezagaa kwenye jamii za Kikristo nchini ukilinganisha na zile za Kiislamu. Kwa maneno mengine, Wamanga waliruhusu Wafuasi wao kujamiiana waume kwa waume, na wanawake kwa wanawake na in fact, ndiyo walioingiza na kudumisha tabia hii Afrika Mashariki sehemu za mwambao kama Zanzibar, Pemba, Tanga, Mombasa, Comoros (pitia mada za jana kuhusu Ushoga na Ukimwi Zanzibar).
Inaonesha unayajuwa vizuri maeneo yenye vitendo hivyo any way kila mtu na fani yake ushauri wangu wacha matendo hayo.