Fursa za kibiashara zipatikanazo Comoro

Safi saana balozi Kwa muongozo huu, mabalozi wengine wanapaswa kuiga, balozi utadhani mchumi vile
 
Nasikia kwa matapeli ni balaa hila kwa biashara ni kuzuri sana
 
Safi sana ndugu balozi, jiwe hakukosea kukuweka huko..na mabalozi wengine wajitokeze waseme neno!
 
Sure mkuu tungekua na mabalozi wengine wanaoweza kuonesha fursa mbalimbali za biashara tungekua mbali.Fikiria Balozi alienda kuwapa pole wafanyabiashara ambao mifugo yao ilikufa,hakika kwa hili anafaa kupongezwa
Kwa nin hao wafanyabiashara wetu wasipeleke nyama iliyotayari ? Hata wanasafirisha mifugo had inawafia?
 
Kwa nin hao wafanyabiashara wetu wasipeleke nyama iliyotayari ? Hata wanasafirisha mifugo had inawafia?

Nadhani Changamoto itakuwa uwepo wa kontena zenye friji kuhakikisha nyama hairibiki

Hili ni tatizo lkn ni fursa mkuu kwahiyo Kama unaweza kupata kontena za namna hiyo ukawapa hili wazo wanao safirisha ng'ombe na ukaanza kuwakodisha hizo kontena utakuwa umekuwa mjasiriamali original maana utakuwa umetatua tatizo huku unapata kipato
 
Ngoja nijipange nikafanye business tour nione physical opportunities.
 
Safi sana ndugu balozi, jiwe hakukosea kukuweka huko..na mabalozi wengine wajitokeze waseme neno!

Wako wapi mabalozi wengine? kama mabalozi wetu wote wa nchi zote wangekuwa wanatuambia fursa zilizopo na information sahihi kwenye nchi wanazotuwakilisha ingependeza sana.
 
Muwe na tafakuri kidogo ni kweli fursa zipo tena nyingi tu.. Ila pia risk ni kubwa hasa kwenye miundombinu... Comoro inafikika kwa njia mbili tu majini na angani
 
Muwe na tafakuri kidogo ni kweli fursa zipo tena nyingi tu.. Ila pia risk ni kubwa hasa kwenye miundombinu... Comoro inafikika kwa njia mbili tu majini na angani
Mshana unaweza kuwa na ufahamu wa kiasi cha nauli tokea bongo kwa ndege na meli pia?
 
Hakuzungumzia chochote kuhusu construction industry?
 
Mshana unaweza kuwa na ufahamu wa kiasi cha nauli tokea bongo kwa ndege na meli pia?
Mmh mara ya mwisho kwa ndege ilikuwa $350 miaka 5 nyuma na kwa jahazi ilikuwa 35-45 elfu... But very risk
 
Mmh mara ya mwisho kwa ndege ilikuwa $350 miaka 5 nyuma na kwa jahazi ilikuwa 35-45 elfu... But very risk

Mpaka sasa hiyo ndio nauli ya ndege...ni ghali sana...Kama unaenda Dubai vile. Ila kwa kuwa unaenda kutafuta business connections, basi si vibaya ukafumba macho na kwenda kuangalia fursa hizo.
 
Hakuzungumzia chochote kuhusu construction industry?
Construction ipo mkuu nilivyoviandika hapa siku note sehem yoyote hivyo nliandika vile nilivyovikumbuka tu
 
Hayo wanayasema tu kwenye vyombo vya habari ila ukiritimba uliopo hapo bandarini kwenye kusafirisha mizigo ni balaa!kuna jamaa namfahamu alikuwa na contena 6 za maharage na asali!!amehangaikia vibali hapo kila mtu anamwambia nenda kwa yule hadi anafanikiwa kupata hivyo vibali anafikisha huko maharagwe yameshakuwa unga tu yameharibika alichoambulia ni asali tu!!alipata hasara ya karibia milioni 80!!usifikilie hizo fulsa watu hawazioni ila urasimu uliopo kwenye ofisi husika za kutoa vibali mala Tfda,tbc kila mtu ana mtupia mpira mwenzake!!tunakwamishana wenyewe kwa wenyewe!!ndio maana huwa nikimsikia kiongozi anasema hivyo huwa "NAMCHEKIIII,kisha nasemaa yaaan!!!!!halafu kufanya biashara ya nje hususani mazao ni ngumu kwani haitabiriki unachukua order ya mtu unaanza kukusanya mzigo malaa paa serikali imepiga marufuku usafirishaji wa mazao kwenda nje!!kuanzia sasa!!hawatoi hata muda ili kama kuna watu wana mizigo yao wamalizie kwanza!!mimi kuna mwaka yalinikuta acha tu yasikie kwa mwenzako ila nashukuru mwenye mzigo alinielewa,ndio maana wafanyabiashara wengi hasa wa Rwanda na Drc wamekuwa waoga kufanya biashara za kununua mazao nchini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…