Samahani wanaJF,
Nilikuwa naomba mnisaidie na mawazo au labda uzoefu kwa namna Moja au nyingine kutokana na fursa zinazopatikana baada ya kupata cheti cha kuanzia Diploma ya Uhandisi wa umeme (Electrical engineering) katika jamii zetu za Kitanzania.
Asanteni sana
Nilikuwa naomba mnisaidie na mawazo au labda uzoefu kwa namna Moja au nyingine kutokana na fursa zinazopatikana baada ya kupata cheti cha kuanzia Diploma ya Uhandisi wa umeme (Electrical engineering) katika jamii zetu za Kitanzania.
Asanteni sana