Fursa za kazi ughaibuni na mtazamo wangu

Fursa za kazi ughaibuni na mtazamo wangu

Bravo wana idadi kubwa ya waombaji hivyo inaweza kukuchukua muda sana kufikiwa batch yako. Mfano walioenda Wiki mbili zilizopita wamefanyiwa usaili mwezi wa 10 mwaka jana. Kwa maelezo ya mzee Mtemvu this coming interview watahitajika karibia watu elfu moja,hao wote hawaendi kwa mkupuo wataenda kwa batch kulingana na uharaka kwa section zinazohitaji man power replenishment.. nadhani kwa hizi kazi za Armarai-Saudi Arabia hazihitaji mtu uwe na haraka hata kama ukifanyiwa usaili. Hivyo ili uwe kwenye nafasi ya kwenda walau kwa wakati heri ukajisajili CIML maana wao hawajulikani sana na hawana namba kubwa ya waombaji.
Shukrani mkuu kwa info

Naomba kuuliza tena, ivi ukishafanyiwa interview baada ya hapo mnapewa deadline ya kufuatilia vitu kama vibali nk, ili katika kuondoka muweze kuondoka wote kwa pamoja, au hamna deadline ya kufuatilia mambo Kwa maana ya kwamba speed yako ndio itakufanya uwahi kuondoka au kuchelewa kwako ndipo kutakapo kuchelewesha
 
Hawa CIML Man Power hawako serious na recruitment yao, huwezi itisha watu kwa ajili ya usaili zaidi ya miezi sita huku hawajui unafanya usaili mwezi gani, tangazo la kutuma maombi ya kazi lipo tangu Disemba lakini hakuna usaili unafanywa, just simple wanakusanya ada ya usaili elfu 50 kwa kila mwombaji..embu hawa agents wa bongo wawe serious na hizi mambo,weka bayana mchakato,ita watu hata kama wanalipa ada ya usaili au commission fee wajue process yote kuepusha maswali.

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
onyo.png


Untitled-1.png
 
Wakuu nimekuja kwenu kutoa ushuhuda kuwa niko ughaibuni,.yanayojili huko nyumbani sasa yanaakisi uzi wangu.
 
Back
Top Bottom