Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,358
- 1,807
Kuna wakati nilikuwa z'bar nikaenda kwenye hoteli moja ya kitalii, nilikuta watu wakishusha mizigo kwenye gari moja kubwa hapo hotelini, moja ya mizigo hiyo ilikuwa ni mayai na vinywaji vikali (mvinyo).
Nilijaribu kumdadisi mhudumu mmoja pale akaniambia vitu vile vinatoka nje ya nchi, nikashangaa sana, yani hata mayai ya kisasa wanaagiza toka nje ya nchi?
Nilipodadisi zaidi niligundua 90% ya bidhaa zinazotumiwa pale hotelini zinatoka nje ya nchi, sio kwamba hapa tz hazipo hapana! ni kwasababu wabongo wengi ni 'wababaishaji' yan kama amepewa tenda ya mayai 1000 kila wiki, basi atapeleka kwa wiki mbili then wiki ya tatu atakuwa ameishiwa au ataanza kusuasua, hii ndio shida(commitment).
Ukweli ni kwamba kuna fursa za biashara ni nyingi kwenye mahoteli makubwa z'bar wanahitaji bidhaa nyingi mfano vinywaji, matunda,nyama,mayai,
mbogamboga tena kwa bei nzuri sana ila wanahitaji watu committed mf;kuna jamaa alikuwa anawauzia nyama ya
'mbuzi katoliki' sh 17,000@kg
Pia kipindi cha Ramadhan watu wanopeleka nyama ya Kuku,mbuzi ng'ombe wanapiga sana pesa(hii sio hotelini hata mtaani tu).
Tatizo watz tumelala
mpaka toothpick zinaingizwa kutoka nje, hii ni aibu!!
Magogo yanazalishwa Iringa mpaka yanasafirishwa nje tunashindwaje kutafuta/kuagiza mashine ya kutengeneza toothpick? tuamke tuchangamkie fursa wakuu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Nilijaribu kumdadisi mhudumu mmoja pale akaniambia vitu vile vinatoka nje ya nchi, nikashangaa sana, yani hata mayai ya kisasa wanaagiza toka nje ya nchi?
Nilipodadisi zaidi niligundua 90% ya bidhaa zinazotumiwa pale hotelini zinatoka nje ya nchi, sio kwamba hapa tz hazipo hapana! ni kwasababu wabongo wengi ni 'wababaishaji' yan kama amepewa tenda ya mayai 1000 kila wiki, basi atapeleka kwa wiki mbili then wiki ya tatu atakuwa ameishiwa au ataanza kusuasua, hii ndio shida(commitment).
Ukweli ni kwamba kuna fursa za biashara ni nyingi kwenye mahoteli makubwa z'bar wanahitaji bidhaa nyingi mfano vinywaji, matunda,nyama,mayai,
mbogamboga tena kwa bei nzuri sana ila wanahitaji watu committed mf;kuna jamaa alikuwa anawauzia nyama ya
'mbuzi katoliki' sh 17,000@kg
Pia kipindi cha Ramadhan watu wanopeleka nyama ya Kuku,mbuzi ng'ombe wanapiga sana pesa(hii sio hotelini hata mtaani tu).
Tatizo watz tumelala
mpaka toothpick zinaingizwa kutoka nje, hii ni aibu!!
Magogo yanazalishwa Iringa mpaka yanasafirishwa nje tunashindwaje kutafuta/kuagiza mashine ya kutengeneza toothpick? tuamke tuchangamkie fursa wakuu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.