π‘
KIWANJA 3,109 SQM KINAPATIKANA β BARABARA KUU YA MSATA, MAKURUNGE BAGAMOYO
Fursa nzuri kwa mwekezaji anayehitaji eneo kubwa lenye
access nzuri ya barabara kuu kwa ajili ya biashara, lodge, hotel, kituo cha huduma au makazi.
π
Mahali: Makurunge, Bagamoyo β Barabara Kuu ya Msata
π
Ukubwa: 3,109 SQM
π°
Bei: TSh 200,000,000
π
Hati/nyaraka za umiliki: Zipo
π§
Maji: Yapo
β‘
Umeme: Upo
ποΈ
Msingi wa lodge ya vyumba 12: Tayari upo
β
Kwanini eneo hili?
Eneo lipo kwenye njia yenye movement ya watu na magari, hivyo lina potential kubwa kwa uwekezaji wa biashara au hospitality.
π Kwa maelezo zaidi, picha/video zaidi au kupanga siku ya kuangalia eneo,
wasiliana nami inbox au simu 0765562762
Serious buyers/investors only.