Mimi hutakiwi kunifahamu maana ndiyo maana ya kutumia id fake, we njoo tu huku makongolosi au nenda itumbi anza kuomba kazi kwenye malongobesi utanikuta huko ila hutajua kama ni mimi, nitakusaidia kimyakimya kupata kazi ya kutoa felo na baadae ukipata uzoefu utaanza kuchoronga na kuponchi, ukiwa mvumilivu na mwenye bidii shimo likitoa hela hutakosa milioni au zaidi ya mtaji wa biashara unayotaka kuifanya