Naombeni nifahamishwe kuhusu gharama za kusafirisha mbao toka Mafinga kuja Dar es salaam. Je,unafata mtiririko upi ? Je, pia kwa mkoa wa Iringa biashara ya mitumba inalipa?
Naombeni nifahamishwe kuhusu gharama za kusafirisha mbao toka Mafinga kuja Dar es salaam. Je,unafata mtiririko upi ? Je, pia kwa mkoa wa Iringa biashara ya mitumba inalipa?
Mkuu ni copy na mm huo utaratibu,
Pia kama unaeza jua juu ya upatikanaji wa mashamba ya miti plz nao nahitaji kujua hasa kuhusu bei kwa mashamba mapya yaani yasiyo na miti!
Mkuu ni copy na mm huo utaratibu,
Pia kama unaeza jua juu ya upatikanaji wa mashamba ya miti plz nao nahitaji kujua hasa kuhusu bei kwa mashamba mapya yaani yasiyo na miti!