Fursa! Kwako mfanyabiashara

Fursa! Kwako mfanyabiashara

stunnacarter2015

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2017
Posts
463
Reaction score
1,288
Wengi tunatamani kukuza biashara, kufikia watu wengi zaidi kwa wakati mmoja lakini kama tujuavyo "mkono mtupu haulambwi"
Hivyo basi tumia njia bora kufikia watu wengi Na kutangaza biashara/huduma unazotoa ikiwemo kutumia
business cards | bronchures | Flyers | posters
Business profiles | logos | cover arts | promo advertisements | Banners |
Vyote hivi utavipata kwa bei nafuu kabisa unachohitaji kufanya ni kitu rahisi tu..
Business cards 👉 10,000
Banners/posters 👉20,000
Promo ads/cover arts 👉25,000
Busines profiles 👉30,000
Logos 👉 25,000/35,000/50,000
👇
PM stunnacarter2015
Karibu sana
 
hit.jpg
Big joe.jpg
Meeee mu u.jpg
Report.jpg
LEGACY BAR.jpg
denim.jpg
 
Asanteni wote mliokuja PM natumai mmeridhika na kazi tuliyofanya karibuni tena na tena...
PM iko wazi tuna kila kitu unachohitaji usichelewe .....
 
OFFER!!OFFER!! OFFER!!!
Leo jumanne 10.12.2019 offer kabambe kubwa, haijawai kutokea hii inahusu wale wote wanaojishughulisha na biashara zifuatazo:
1. Wauza chips na fastfood zote (burger, pizza, donuts, nyamachoma nakadhalika)
2. Migahawa (restaurants)
3. Bar
4.vinywaji (soda,juice, pombe nakadhalika)
5. Biashara ya chakula

Unahitaji kukuza biashara yako maradufu kwa kutumia matangazo ikiwemo Logo ya biashara, posters za menu, events za biashara husika, business cards na vingine vingi
Vyote hivi utapata kwa offer yenye punguzo ndani yake kama vile:
Logo 👉 20,000
Posters 👉 15,000
Business cards 👉 10,000
Menu 👉 10,000
Event posters👉 10,000

Wahi sasa kwani offer hii ni ya week moja tu yani kuanzia (tarehe 10-17 dec 2019)
"MCHELEA MWANA KULIA, HULIA YEYE".
 
Offer bado inaendelea
Why hadi leo ufanye biashara bila logo?
Why takeaway package yako haina logo na address?
Why upost picha kwenye social media haina logo ?
Why ushindwe kukuza biashara yako kupitia social medias?

Acha kufanya kazi kwa mazoea ingia katika soko la ushindani kwa kuongeza thamani ya biashara yako kwa vitu muhimu sana kama
Packaging address | logo | business cards |
Kwa bei ya offer
Bado ujachelewa PM stunnacarter2015
Kwani bado siku 6 tu !! Offer kuisha.
 
Siku zinayoyoma offee iko ukingoni kabisa
Wahi sasa PM stunnacarter2015 Ujipatie
Logo 👉 20,000
Posters 👉 15,000
Business cards 👉 10,000
Menu 👉 10,000
Event posters👉 10,000
#offafungamwaka
 
Tunashukuru wote mliokuja PM matumaini yetu mmeridhika na huduma zetu.
Bado wewe? Usichelewe PM stunnacarter2015 ujipatie graphic designs mbalimbali za logo, posters, flyers, business cards, business cards vyote hivi kwa bei ya OFFER inayoendelea mpka tarehe 17. U
Usiingie gharama nyingi na unakarbia kumaliza mwaka
3 DAYS LEFT
Logo 👉 20,000

Posters 👉 15,000

Business cards 👉 10,000

Menu 👉 10,000

Event posters👉 10,000

#offafungamwaka
 
Tunashukuri waote mliokuja PM karibuni tena kwa huduma yenye ubora na ubunifu
Hata wewe unaweza kufaidika offer yetu lLEO ndio mwisho DM sasa
stunnacarter2015 Ndio sehemu sahihi ya kuPM sasa
 
Back
Top Bottom