Habarini za Mchana,
Wadau nimefanikiwa kufungua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi maeneo ya Tandika Dar es Salaam.
Natafuta mshirika anayejihusisha na biashara ya mahindi kwa ajili ya ushirikiano wa kibiashara kwa terms tutakazo kubaliana.
Store iliyopo mashineni inaweza chukua Tani 80 za mahindi kwa maramoja. Tayari tunamasoko kwa uwezo wa kusupply unga takribani tani 40 kwa mwezi.Yeyote aliyeko interested.
Please nicheki tuongee namna tunavyoweza kuinuana kibiashara.
0769630209.
Wadau nimefanikiwa kufungua mashine ya kusaga na kukoboa mahindi maeneo ya Tandika Dar es Salaam.
Natafuta mshirika anayejihusisha na biashara ya mahindi kwa ajili ya ushirikiano wa kibiashara kwa terms tutakazo kubaliana.
Store iliyopo mashineni inaweza chukua Tani 80 za mahindi kwa maramoja. Tayari tunamasoko kwa uwezo wa kusupply unga takribani tani 40 kwa mwezi.Yeyote aliyeko interested.
Please nicheki tuongee namna tunavyoweza kuinuana kibiashara.
0769630209.