Asalaam aleikum wakuu, natafuta fundi rangi kwa ajili ya kupaka rangi kuta za nyumba kwa bei nafuu nyumba ipo Ubungo riverside, kibangu. Huyo fundi awe maeneo ya karibu na ubungo na anatakiwa haraka sana.
Kwa aliye tayari, naomba ani pm namba zake kwa mawasiliano zaidi.
Natanguliza shukrani..
Kwa aliye tayari, naomba ani pm namba zake kwa mawasiliano zaidi.
Natanguliza shukrani..