Pate_15
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 156
- 48
Ndugu wana jf,
Kwanza napenda niwashukuru wale wote ambao wanajitolea kutangaza fursa mbali mbali za ajira na kujiajiri "Ahsanteni" Ila katika uzi huu nawaomba pia muangalie jinsi gani mta tukomboa sisi ambao tukomakini katika kutafuta njia ya kujikwamua katika umaskini..
Fursa zipo nyingi sana kitaa ila mitaji ndo tatizo kubwa sana.
Kwamfano, siku chache zilizopita nilishiriki presentation flani hapa dar,nimependa mada zao na nimevutiwa sana kufanya nao kazi/biashara ila ugumu pale kwenye mtaji wa kuanza hiyo biashara.
Inatakiwa laki moja kama mtaji wako ili kuanza nao biashara nawe huna hata shilingi elfu moja ya kula au elfu kumi ya akiba,nini kitafata kama sio mawazo mengi ya kuumiza kichwa kwa sababu njia umeiona ila unashindwa kupita kwa kikwazo cha pesa.
Tusaidieni hata njia za kupata mikopo rahisi yenye masharti mepesi hapitakua mmemaliza tatizo.
Natanguliza shukwani kwenu mtakao guswa na mungu awape wepesi wa kutusaidia zaidi,Ahsanteni.
Kwanza napenda niwashukuru wale wote ambao wanajitolea kutangaza fursa mbali mbali za ajira na kujiajiri "Ahsanteni" Ila katika uzi huu nawaomba pia muangalie jinsi gani mta tukomboa sisi ambao tukomakini katika kutafuta njia ya kujikwamua katika umaskini..
Fursa zipo nyingi sana kitaa ila mitaji ndo tatizo kubwa sana.
Kwamfano, siku chache zilizopita nilishiriki presentation flani hapa dar,nimependa mada zao na nimevutiwa sana kufanya nao kazi/biashara ila ugumu pale kwenye mtaji wa kuanza hiyo biashara.
Inatakiwa laki moja kama mtaji wako ili kuanza nao biashara nawe huna hata shilingi elfu moja ya kula au elfu kumi ya akiba,nini kitafata kama sio mawazo mengi ya kuumiza kichwa kwa sababu njia umeiona ila unashindwa kupita kwa kikwazo cha pesa.
Tusaidieni hata njia za kupata mikopo rahisi yenye masharti mepesi hapitakua mmemaliza tatizo.
Natanguliza shukwani kwenu mtakao guswa na mungu awape wepesi wa kutusaidia zaidi,Ahsanteni.