Fursa 2016 by Clouds Media ile ilikua ni siasa

Fursa 2016 by Clouds Media ile ilikua ni siasa

naomba nikupinge kwa hilo, nishawai kuhudhuria FURSA kwa mkoa wa Dar es salaam, hiyo siku walikua wanazungumzia kilimo hasa kwa mkoa wa Pwani eneo la Kiwangwa. nilivyotoka pale nikajichanga nikanunua shamba kule nikaanza kulima, sijafikia malengo yangu lakini angalau nimepata kitu flani, mwaka huu nimelima seriously na nitakuja JF kuleta mrejesho. mimi nadhani kwa kuhudhuria vitu kama ivyo mtu unapata motivation flan, so ni bora kuhudhuria kuliko kukaa tu nyumbani.
 
Jaman tubadili fikra zetu so kila kitu mnapelek a ushabki wa kisiasa,tutachelewa kufka nchi ya uchumi wa kati.
 
Hizo semina wanazoziita fursa ni lobing kwa serikali ili wapate ulinzi na promo kutoka kwa wakuu wa wilaya kwan nao huwa wanahamasisha watu waende fiesta au kuamuru ishu yeyote iliyotaka kufanyika kwenye ukumbi au uwanja isitishwe kupisha fiesta.
Cha ajabu hao hao waliohubiriwa fursa na hawana ajira kesho yake wanadaiwa kiingilio.
 
Kukosoa ndiyo kazi rahisi kuliko zote duniani.

Kwa nini na wewe usianzishe kongamano lako la fursa ukafanya unavyotaka?

Clouds wamefanya wanachokiweza hebu na wewe ibadili hii idea yako kuwa reality tuone.
 
Back
Top Bottom