BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Kuna aina tatu za furniture za kichina,ready made keko ambazo hazidumu maana hutumia hata mti wa muembe na za kutoa order kwa fundi ambazo huwa zina dumu sana na ni design yakoWasalaam wanaJF,
Natafuta duka au kampuni inayouza furniture (yaani viti, meza ya chakula/kahawa, makabati ya nguo ya vyumbani) jijini Dar-es-salaam.
Nitashukuru mkinitajia kampuni zanye sifa na bidhaa nzuri il niweze kuona na hatimaye kununua bidhaa zao. Ikiwezekana wawe wanatengenezea makabati nyumbani kwa mteja.
Asanteni,
Belinda!!
Kuna aina tatu za furniture za kichina,ready made keko ambazo hazidumu maana hutumia hata mti wa muembe na za kutoa order kwa fundi ambazo huwa zina dumu sana na ni design yako
Hivi kweli Dar nitapata fundi au kampuni ya kunitengenezea jiko na makabati kama hili?
Hivi kweli Dar nitapata fundi au kampuni ya kunitengenezea jiko na makabati kama hili?
Mkuu Keko ndio kila kitu kuhusu mambo ya fenicha kuanzia keko magurumbasi hadi keko bora,ila jaribu kwenda na mtu anayejua mbao vizuri usije ukauziwa kitanda cha muembe 4 kwa 6 baada ya mwezi kitanda kinatanuka na kuwa 6/6
Hivi kweli Dar nitapata fundi au kampuni ya kunitengenezea jiko na makabati kama hili?
Belinda,Wasalaam wanaJF,
Natafuta duka au kampuni inayouza furniture (yaani viti, meza ya chakula/kahawa, makabati ya nguo ya vyumbani) jijini Dar-es-salaam.
Nitashukuru mkinitajia kampuni zanye sifa na bidhaa nzuri il niweze kuona na hatimaye kununua bidhaa zao. Ikiwezekana wawe wanatengenezea makabati nyumbani kwa mteja.
Asanteni,
Belinda!!
Belinda,
Longtime.
Kwenye furniture, kuna mambo matatu makuu ya kuzingatia.
1. Look/finishing, 2. Quality 3. Price.
Pasco
- Tukianza na look, yaani muonekaniko, furnitures nyingi ready made za Mchina zina good na good furnishing ila hazina quality kwa sababu zimetengezwa na MDF materials ambapo sasa hadi Keko nao wanatumia kwa sababu they are cheap!. Kufuatia umasikini wa Watanzania, hizi MDF ndizo kimbilio la wengi, na hata ukifika ofisi nyingi hata za heshima, office furnitures zao ni ready made za MDF ambazo they are just good looking lakini hazidumu. Kuna Watu wenye nafasi zao na uwezo wao, lakini bado wana opt for MDF kwa sababu wameamua hawataki furniture za kudumu sana ili baada ya muda wawe wanabadilisha, that being the case, wana opt for cheap imported furnitures za China, unaweza kwenda kwenye yale maduka lukiki ya furniture au hata Keko.
- Tukija kwenye Quality, hii inategemea ni mbao gani unaipenda ila the best quality ya mbao za furniture ni mti wa Mninga. Watanzania tunajitahidi sana kutengeneza furniture nzuri za Mninga ila tunaangusha na finishing kwa sababu finishing yetu inafanywa kwa mikono, hand finishing!. Sasa yameingia makampuni ya wenzetu ambao wanatengeneza furniture hizi hizi za Mninga, ila wanafanya finishing na mashine, hivyo ukiziona zinaonekana kama ready made!. Kuna Wachina wanaitwa Ocean Kiss Furniture duka lao liko pale Victoria opposite na jengo la GEPF na kiwanda chao kiko Shekilango pale Millenium Business Park, kiukweli sijaona duka lolote la kushindana na hawa Wachina kwa finishing. Wengine ni Wazungu fulani wako Mikocheni njia ya Coca Cola, kiwanda chao hapo nje wameweka alama ya kiti kikubwa cha mbao. Hawa Wazungu tatizo lao, ni mpaka uweke order na inakubudi kusibiri kwa 60 days, kwa sababu ukiisha weka order ndipo wananunua mbao na kuzikausha na kuzitreat for 30 days kwenye mashine zao, ndipo waanze kutengeneza, ila finishing product yao ni kama ulaya!.
- Mwisho ni suala la gharama, good things costs money!. Kama umejaaliwa uwezo, na unahitaji really good stuff, nenda duka linaitwa Cleopatra, liko Nyerere Road baada ya Hyundai, mule wameweka imported classic furniture kama kwenye nyumba za wafalme, wanaangiza furnure zao kutoka Egypt na Uturuki ambazo ni za mbao kweli na kazi yote ni hand made ila tatizo bei!. Mfano kuna sitting room set inayomatch na dining set inauzwa M.45!. Kiukweli nyumba yako unaweza kuigeuza a palace!. Na hata kama huno hizo M.45 sio mbaya kupita na kuangalia tuu, kwa sababu bila ku wish, you can never get!. Mtu mwingine anayeteta funiture nzuri, ni dada mmoja anaitwa Lydia, yeye ana import from US kwa kutumia Catalog mbalimbali ikiwemo Peter Justinten. Yeye yuko Mikocheni Opposite KFC, kibao kimeandikwa All Americans.
Ndo hao wanaweka bidhaa bila bei mpaka umtafute inbox..Muone dada mmoja anaitwa sachegues yupo istagram anafanya furniture nzuri sana au furnituresolution ukiingia IG utawa wengi