Furahia simu yako hapa

Furahia simu yako hapa

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Habarini wakuu.....

Leo nataka niwaonyeshe jinsi nilivobadili mwonekano wa Huawei y300-100 yangu na kuifanya kua tam kama mcharoo.
Hizi ni app ambazo zitaipa feeling ya 4.4.4 sim yako ya android v4.0 na kuendelea best up to 4.4
Kuna app tatu ntawapa nazo zitasaidia sana mageuzi haya..

1) Kwanza tutaanza na kuinstall launcher. Zipo launcher nyingi sana ila kwa matokeo kama yangu unashauriwa utumie "SOLO LAUNCHER"

Launcher hii inaleta smooth looking kwa sim yako na kuifanya kuwa na looking flani Amaizing.
Solo Launcher Android App i
Ifuate hapo ishushe na uiinstall

2) Pili tutainstall Font pack. Wote tunajua default font inakua inaboa basi kupata mambo mazuri katika font zako download "Ifont hapa .. iFont - Expert of Fonts Android App alafu install na itarestart sim ili ichukue effects.

3)Kama kawaida tunatupia kitu cha app lock. Lazima tulock app zetu kuokoa mengi au sio? ��ila tunaitaji locker ambayo ni 0% opacity yaani haitovurugana na rangi ya background (hapa nazungumzia rangi itakayokua kwa io solo launcher).

Zipo locker nyingi ila leo nawapakulia linki ya ii apa "SMART APP PROTECTOR" ifuate hapa
Smart App Protector Android App i
nstall seti na maliza kazi.

Kwa kweli sasa sim yangu naona utam wake na inapendeza kwa kweli...
#mbwaHafiAkionaUfuko
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1428872561781.jpg
    uploadfromtaptalk1428872561781.jpg
    28.1 KB · Views: 3,361
  • uploadfromtaptalk1428872679057.jpg
    uploadfromtaptalk1428872679057.jpg
    31.6 KB · Views: 3,216
  • uploadfromtaptalk1428872708337.jpg
    uploadfromtaptalk1428872708337.jpg
    13.3 KB · Views: 3,172
Oooh mi natumia HTC ila ya nikiistall programs chache tu inalete "phone running low space" wakat kuna nafasi ya kutosha cjajua tatizo ni mini msaada wakuu
 
Oooh mi natumia HTC ila ya nikiistall programs chache tu inalete "phone running low space" wakat kuna nafasi ya kutosha cjajua tatizo ni mini msaada wakuu

Jaribu kutafuta app inaitwa app2sd hiyo itasaidia kusogeza app na kutumia storage ya memory card
 
Sasa na enjoy nabadirisha nitakavyo ina muonekano mzuri text naandika vizuri mimi nilijua simu zinakuja zikiwa hivi kumbe utundu tu
 
vzur mkuu...ila baba wa utam ni custom ROM mkuu pia unaeza jaribu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom