Furahi na mwisho uchangie maoni yako.

Furahi na mwisho uchangie maoni yako.

blogger94

Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
25
Reaction score
1
Jamaa fulani alirudi nyumbani kwa huzuni mazungumzo yao yalikuwa hivi: MKE:Mbona leo una huzuni mume wangu? MUME:Ofisi yetu imeungua ni mimi,sekretari,mhasibu,bosi na mkurugenzi mkuu ndo hatukuwepo mi nilikuwa nimetoka nimeenda kujisaidia haja kubwa. MKE:Maskini ehee sasa hao familia zao itakuwaje? MUME:Kampuni itawalipa fidia kila familia Tsh. 50Milioni. MKE:Ona sasa kujisaidia saidia kwako umetukosesha hizo Milioni 50. MUME:!!!..................................JE, UNGEKUWA WEWE NDO MUME MKE WAKO KAKWAMBIA HIVI UNGEFANYAJE???....
 
copy and paste. ni huo tu ndo mchango wangu, jana tu mtu kaipost humu, wiki jana ilipostiwa na mwingine, na long time ago ilipostiwa pia, ulichofanya ni kubadilisha title tu, lakini dhima ni ile ile
 
copy and paste. ni huo tu ndo mchango wangu, jana tu mtu kaipost humu, wiki jana ilipostiwa na mwingine, na long time ago ilipostiwa pia, ulichofanya ni kubadilisha title tu, lakini dhima ni ile ile[/QU we boya
 
Tunga ya kwako.Nilikuwa nataka nipite kimya ila sharti lako ndo limenifanya nichangie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom