Furaha ya Migogoro ya Serikali

Majinzi

Senior Member
Oct 28, 2018
147
203
Kutokana na Ndege yetu kuzuiwa na mahakama kuu nchi South Africa, nimepitia mitandao ya kijamii kusoma maoni ya watu ambao ni wananchi na wanufaikaji pengne wa kila miladi inayoihusu nchi.

Jambo la kusikitisha watanzania wanafurahi kwa kitendo cha ndege yetu kuwekewa kizuizi.


Kabla sijawalaumu nimejiuliza maswali

1. Kwanini wanafurahi serikali inapokuwa kwenye migogoro fulani?

Swali hili limekuja baada ya kujiridhisha kuwa si hili tu la Air Tanzania bali imekuwa ni jambo la kawaida wananchi kufurahi pale nchi (serikali) inapokuwa kwenye migogoro.


2. Je Serikali inajifunza nini kupitia wananchi wake wanapofurahi pale inapokuwa na migogoro ya aina hii?


3.Je kama nchi tunapaswa kufurahi au tuwe na namna nyingne ya kufikisha ujumbe kwa serikali ili kuwajibika inavyopaswa?

4.Je Serikali inajua chanzo pelekewa kwa wananchi kufurahia pindi inapokuwa na migogoro? Kama ndio je haioni kutafta suluhisho la tatizo?

Pamoja na maswali yangu lakini Leo ningependa kujua swali msingi ni Kwanini tunafurahi nchi inapoingia kwenye migogoro?
 
Wanaofurahi ni wale vigogo na familia zao waliotumbuliwa, wenye vyeti feki, mafisadi na wana ufipa.
Mi katika yote magu nimempendea kutumbua vyeti feki, ila kasoro kawapendelea majeshini.
 
Nyie mnapotudhulumu haki zetu sie wanyonge mnadhan huwa hatuumii eh?leo mnamtafta mchawi na huku mchawi ni nyinyi wenyewe!...tena msitukere!
hii ni sawa mumeo akunyime hela ya mboga halafu unafurahia nyumba yenu kubomoka.

watu watakuona kama umesharukwa na akili.
 
hii ni sawa mumeo akunyime hela ya mboga halafu unafurahia nyumba yenu kubomoka.

watu watakuona kama umesharukwa na akili.
Kimsingi nilitaka kujua je watu wanafurahi kwa sababu pengne hawanufaiki na hiyo miladi au kuna tatizo lingne linalopelekea haya tunayoyaona...

Sidhani kama nchi kama marekani hufurahi pale nchi inapoingia kwenye migogoro...

Mimi nilitegemea wananchi kulaani na kuitaka serikali kutafta majibu ya haraka ya tatizo na ndege yetu kuachiwa na si kufurahi..

Nilitegemea serikali kutoa majibu ya haraka kwa sababu ya uwajibishwaji wa wananchi...
 
Binafsi sifurahiagi kamwe kuona mwanadamu mwenzangu akiwa kwenye shida, migogoro sebuse nchi yangu! Hivyo, wenye kufurahia nchi yetu kuwa kwenye migogoro, amini kwamba ni wagonjwa! Ndio, ni wagonjwa wanahitaji tiba ya kitabibu. Mwanadamu wa kawaida hawezi furahia Mali ya taifa lake, iliyonunuliwa kwa kodi yake, akifurahia iwe kwenye tatizo. Amini kabisa, kwamba mtu wa hivyo, hata ndoa yake, mahusiano yake, ama na majirani hata familia yake/yao kuna tatizo pia. Madaktari wanaweza kutudadavulia zaidi.
 
Watz wengi wana roho za kichawi, ndio maana hufurahi wenzake au hata ndugu zake au serikali yake inapopata matatizo, ni uchawi tu
 
Kutokana na Ndege yetu kuzuiwa na mahakama kuu nchi South Africa, nimepitia mitandao ya kijamii kusoma maoni ya watu ambao ni wananchi na wanufaikaji pengne wa kila miladi inayoihusu nchi.

Jambo la kusikitisha watanzania wanafurahi kwa kitendo cha ndege yetu kuwekewa kizuizi.


Kabla sijawalaumu nimejiuliza maswali

1. Kwanini wanafurahi serikali inapokuwa kwenye migogoro fulani?

Swali hili limekuja baada ya kujiridhisha kuwa si hili tu la Air Tanzania bali imekuwa ni jambo la kawaida wananchi kufurahi pale nchi (serikali) inapokuwa kwenye migogoro.


2. Je Serikali inajifunza nini kupitia wananchi wake wanapofurahi pale inapokuwa na migogoro ya aina hii?


3.Je kama nchi tunapaswa kufurahi au tuwe na namna nyingne ya kufikisha ujumbe kwa serikali ili kuwajibika inavyopaswa?

4.Je Serikali inajua chanzo pelekewa kwa wananchi kufurahia pindi inapokuwa na migogoro? Kama ndio je haioni kutafta suluhisho la tatizo?

Pamoja na maswali yangu lakini Leo ningependa kujua swali msingi ni Kwanini tunafurahi nchi inapoingia kwenye migogoro?
ndugu, futa neno "nchi" badala yake weka "serekali" halafu tuanze kujadili mada.
 
Unajua bwana si kila wakati wapinzani ni maadui hili suala mathalani waliwahi toa onyo ambalo lingefuatiliwa lingekuwa na tija walionwa kama wamepuuzwa na ndiyo maana sasa kwao imekuwa furaha. Any way Ndege yetu itaachiwa soon.
 
Kutokana na Ndege yetu kuzuiwa na mahakama kuu nchi South Africa, nimepitia mitandao ya kijamii kusoma maoni ya watu ambao ni wananchi na wanufaikaji pengne wa kila miladi inayoihusu nchi.

Jambo la kusikitisha watanzania wanafurahi kwa kitendo cha ndege yetu kuwekewa kizuizi.


Kabla sijawalaumu nimejiuliza maswali

1. Kwanini wanafurahi serikali inapokuwa kwenye migogoro fulani?

Swali hili limekuja baada ya kujiridhisha kuwa si hili tu la Air Tanzania bali imekuwa ni jambo la kawaida wananchi kufurahi pale nchi (serikali) inapokuwa kwenye migogoro.


2. Je Serikali inajifunza nini kupitia wananchi wake wanapofurahi pale inapokuwa na migogoro ya aina hii?


3.Je kama nchi tunapaswa kufurahi au tuwe na namna nyingne ya kufikisha ujumbe kwa serikali ili kuwajibika inavyopaswa?

4.Je Serikali inajua chanzo pelekewa kwa wananchi kufurahia pindi inapokuwa na migogoro? Kama ndio je haioni kutafta suluhisho la tatizo?

Pamoja na maswali yangu lakini Leo ningependa kujua swali msingi ni Kwanini tunafurahi nchi inapoingia kwenye migogoro?
Si kwamba watu wanafurahi serikali kuingia kwenye migogoro, bali wanafurahi pale ukweli unapojitokeza. Serikali imekuwa ikinjima uhuru wa habari na inafanya mambo kisirisiri sana. Imejitahidi kuwaziba watu midomo ni pia wengine kuumizwa au kupotea bila taarifa kutolewa.
Sasa inapojitokeza zile siri zilizokuwa zimefichika zinakuwa wazi, basi watu wanafurahi kupata habari.
 
Hahahahah hilo nalo ni tatizo kufikilia uchawi baadala ya msingi wa tatizo..

Mimi siamini kama ni uchawi, naamini kuna sehemu hapapo sawa, pande zote mbili kwa serikali na wananchi wake ambao ndio wenye serikali
Watz wengi wana roho za kichawi, ndio maana hufurahi wenzake au hata ndugu zake au serikali yake inapopata matatizo, ni uchawi tu
 
Sasa si serikali inatuua

Tufanyeje sasa

Inatuua wananchi

Inatupiga risasi

Inatusakizia kesi

Haitaki kukosolewa


Inaumiza wananchi wake

Inakiuka katiba

Point ni nyingi sana broh hapo nimekupa chache wenzangu wataendelea
 
Kutokana na Ndege yetu kuzuiwa na mahakama kuu nchi South Africa, nimepitia mitandao ya kijamii kusoma maoni ya watu ambao ni wananchi na wanufaikaji pengne wa kila miladi inayoihusu nchi.

Jambo la kusikitisha watanzania wanafurahi kwa kitendo cha ndege yetu kuwekewa kizuizi.


Kabla sijawalaumu nimejiuliza maswali

1. Kwanini wanafurahi serikali inapokuwa kwenye migogoro fulani?

Swali hili limekuja baada ya kujiridhisha kuwa si hili tu la Air Tanzania bali imekuwa ni jambo la kawaida wananchi kufurahi pale nchi (serikali) inapokuwa kwenye migogoro.


2. Je Serikali inajifunza nini kupitia wananchi wake wanapofurahi pale inapokuwa na migogoro ya aina hii?


3.Je kama nchi tunapaswa kufurahi au tuwe na namna nyingne ya kufikisha ujumbe kwa serikali ili kuwajibika inavyopaswa?

4.Je Serikali inajua chanzo pelekewa kwa wananchi kufurahia pindi inapokuwa na migogoro? Kama ndio je haioni kutafta suluhisho la tatizo?

Pamoja na maswali yangu lakini Leo ningependa kujua swali msingi ni Kwanini tunafurahi nchi inapoingia kwenye migogoro?

wananchi wengi hufurahia kwa sababu ya uonevu unaofanywa na watumishi wa serikali. kwa mfano uhamiaji nida polisi rita ardhi tra nk huwezi kupata haki yako hata kama una docment zote lazima usumbuliwe usumbufu huu huwafanya wananchi kuchoka na kukata tamaa ya serikali yao pia ajira hakuna wataajiriwa watoto wa viongozi tu wengine mkafuge samaki mjiajiri. hivi juzi tu imetoka scholaship china serikali imepeleka wanafunzi wengi waameagwa na ndali chako nenda kaangalie waliokwenda scholaship ni wakina nani watoto wanani ambao ndio wengi offisi za serikali hazina mpangilio ya kuhudumia wateja na bahati mbaya umkute mwanamke offisi yoyote utajuta kama hukusumbuliwa. kwahiyo wananchi wamebaki na wao kufurahia serikali inapopata matatizo
 
Si kwamba watu wanafurahi serikali kuingia kwenye migogoro, bali wanafurahi pale ukweli unapojitokeza. Serikali imekuwa ikinjima uhuru wa habari na inafanya mambo kisirisiri sana. Imejitahidi kuwaziba watu midomo ni pia wengine kuumizwa au kupotea bila taarifa kutolewa.
Sasa inapojitokeza zile siri zilizokuwa zimefichika zinakuwa wazi, basi watu wanafurahi kupata habari.
So tatizo ni ushirikishwaji kwa wananchi kama wadau wakubwa wa miladi na maendeleo yao

Ukosefu wa uwazi kwa wananchi

Watu kubanwa pale wanapotoa maoni kuhusu nchi yao (uhuru)

Asante sana Kiongozi
 
Back
Top Bottom