Fununu hizi nini undani wake? Karume v/s uamsho

Fununu hizi nini undani wake? Karume v/s uamsho

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,377
Wadau naomba kila mwenye ukweli kuhusu hili, atujuze.
 
Shishiem ndiyo mambo yao ya makundi na mambo yao ya kutotaka kuambiwa ukweli:majani7:
 
Karume alihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Redio Deutche Welle ya Ujerumani, na alisisitiza kuwa Uamsho wana haki ya kutoa maoni yao kuhusu muungano, lakini hawaruhusiwi kuvunja sheria na pia aliwataka wanachama wa kikundi hicho kujenga hoja. Tatizo lilipo ni kwamba anatuhumiwa kuhusika na kundi la uamsho, kutokana na matamshi yake au msimamo wake juu ya kundi hilo.
 
Taarifa nilizopata leo, ni kwamba, kumbe Aboud jumbe ni Mzaramo, ALLY HASSANI KAGANDA(MWINYI), Ni Mzaramo, Shein nae pia ni Mzaramo.
Pia muungano wa Tanganyika na Zanzibar haukuhusisha mwanasheria mkuu wa Zanzibar.
Ndugu Asha Rose Migiro amesha itaadharisha serekali kua suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Tayari lipo mezani mwa Ban Ki Moon
 
Taarifa nilizopata leo, ni kwamba, kumbe Aboud jumbe ni Mzaramo, ALLY HASSANI KAGANDA(MWINYI), Ni Mzaramo, Shein nae pia ni Mzaramo.
Pia muungano wa Tanganyika na Zanzibar haukuhusisha mwanasheria mkuu wa Zanzibar.
Ndugu Asha Rose Migiro amesha itaadharisha serekali kua suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Tayari lipo mezani mwa Ban Ki Moon

Hilo la uzaramo au undengereko, halina mjadala kabisa!
Kiukweli ni kwamba pamoja na sifa nyengine, lakini huwezi kuwa rais wa Zanzibar, kama huna asili ya Tanganyika!
Hiki ndio kikwazo ambacho kilimfanya maalim Seif ashindwe kuwa rais wa zanzibar kwa vipindi vyote hivyo!
Kama chama cha CUF kinahitaji kuchukua nafasi ya urais hakina budi kumteua mgombea mwenye sifa kama hizo!

Karume hakuwa chaguo la zanzibar, bali alipata kuungwa mkono na jamhuri, kibaya zaidi aliondosha chuki kati ya
wapemba na waunguja ambayo ilikuwa imefikia pabaya!
Kwa kufanya hayo, sishangai kuhusishwa na uamsho!!
 
Hilo la uzaramo au undengereko, halina mjadala kabisa!
Kiukweli ni kwamba pamoja na sifa nyengine, lakini huwezi kuwa rais wa Zanzibar, kama huna asili ya Tanganyika!
Hiki ndio kikwazo ambacho kilimfanya maalim Seif ashindwe kuwa rais wa zanzibar kwa vipindi vyote hivyo!
Kama chama cha CUF kinahitaji kuchukua nafasi ya urais hakina budi kumteua mgombea mwenye sifa kama hizo!

Karume hakuwa chaguo la zanzibar, bali alipata kuungwa mkono na jamhuri, kibaya zaidi aliondosha chuki kati ya
wapemba na waunguja ambayo ilikuwa imefikia pabaya!
Kwa kufanya hayo, sishangai kuhusishwa na uamsho!!

Ndugu Yangu wewe mimi sikujui, lakini kama ulikuwepo kwenye mjadala wetu. Mtoa mada mzee wa CUF, nikama vile umemnukuu. Alisema hivyo hivyo.
 
Ndugu Yangu wewe mimi sikujui, lakini kama ulikuwepo kwenye mjadala wetu. Mtoa mada mzee wa CUF, nikama vile umemnukuu. Alisema hivyo hivyo.

Mimi ni mwanasiasa nisiefungamana na upande wowote! pia nazijua sana siasa za Zanzibar.
Kwakweli hiyo ndio hali halisi ilivyo !!
 
Kilicho nishangaza hapa ni kwamba, vipi uamsho ihusianishwe na Mwana CCM, na sio vyama vingine. Kilikoni Zanzibar? Na mlimsikia wenyewe Kila baada ya muda pale Dodoma, katika hutuba yake, KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI. Ndio maana nika omba maelezo hapa. Hili changa la macho lime kaaje?
 
Back
Top Bottom