Teacher DS
Member
- Mar 31, 2017
- 56
- 44
Mie nampenda yeyote anipendae.
Kabisa ila @atoto anabusara sana pia vimdoli vyake vinanikoshagaSasa mkuu ukisema unampenda mfano @atoto na hujawahi kumuona na huna uhakika Kama ni mwanamke, hapo umependea nn Kama sio jinsi anavyoandika humu
Atoto yuko vizuri Sana. Na ni mwanamke for really.Kabisa ila @atoto anabusara sana pia vimdoli vyake vinanikoshaga
Hahaha mkuu umenichekesha sana. Me nampenda mzoefu wa mambo "Lara 1" najua huyu ni mkubwa mwenzangu over 18Mkuu usiwe na wasi wasi....nataka nimfundishe hisabati....si unajua kuwa ni ugonjwa wa taifa.....
Nimeamua kujitolea kwa huyu....
Ondoa shaka....
Unaona inamaana hisia zangu hazikukosea kumtamani atotoAtoto yuko vizuri Sana. Na ni mwanamke for really.
Kumbe we unamtamani hahaha unazidi kumkosa hahaha.. Eti @atoto hebu njoo huku usikilize mambo ya Ghost na Angela ValdezUnaona inamaana hisia zangu hazikukosea kumtamani atoto
4Hivi kumpenda MTU bei gani? Au ukimpenda MTU unampunguzia nn? OK naanza kutaja
1.miss natafuta
2.faizafoxy
3.miss chaga
4.jovitha
5.yule mwenzie na nanilii the nanilii the.. the
Kumpenda MTU ni kitu uncontrollable, imagine nampenda mtu na jina lake,...... just imagine. What if we be a couple,
aseeeKumpenda MTU ni kitu uncontrollable, imagine nampenda mtu na jina lake,...... just imagine. What if we be a couple,
Jovith & Jovitha
♧♧♧♧♧♧♤♤♤♤♤♤✹✸✶✮✮✻❥❥❥❦❦❦❦❦❧❧❧❧❧♡♡♡ ❴⑩×⑩❵%︾︾『 ‰』